Je, Mbowe kufutiwa kesi kabla ya mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa?

Ndio hapo sasa, ushahidi wa kuunga unga ule hautokani mkono mrefu au macho mengi ya serikali, ni wa kupika ofisini.
Huyo anayesema mkono mrefu ni upi huo? Mkono mrefu wa Kingai, Mahita, Jumanne, Goodluck kusafiri kutoka kituo chao cha kazi Arusha, kwenda kukamata watu Moshi, Tabora na Mwanza, huku polisi wa maeneo hayo hawahusishwi?

Cc mwananyaso
 
Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.

Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.

Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CHADEMA

Kama hatofutiwa, CHADEMA watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.

Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
Rais Samia angepata credit kubwa sana kama angefuta hiyo kesi kabla ya kujadiliwa E.U.

Lakini ata akiifuta sasa itaonekana tu ni shinikizo la kimataifa.

Lazima aifute kesi ili dunia ya wawekezaji na demokrasia impokee,na sasa tunaihitaji dunia zaidi kuliko muda wote.

Mwisho wa yote mshindi atakuwa ni Mbowe maana kapewa political mileage kubwa sana na sasa hatoshikika tena.
 
Vyama vyote vimesajiliwa kwa Msajili wa Vyama Siasa kwa mujibu ya sheriabya vyama vya Siasa ya mwaka 1992. Vyama vyote viko sawa mbele ya sheria. Kitachokupa uhalali wa kwenda Ikulu siyo idadi ya wanachama wako bali sera zako utakavyoshawishi wapiga kura.

CHADEMA msijipe umaarufu msio nao
Acha kushabikia watu kunyanyaswa kwa tuhuma za kijinga .Kila Mtanzania ana haki bila kijali yupo chama gani ,kuwa na moyo wa kibinadamu ,Mbowe kuwa mahabusu hakutakufanya wewe uwe tajili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1638958721390.png
 
Jeshi haliendani na kasi ya mama na limejikita katika mambo ya kisiasa kinyume na katiba.Ni kulifumua loote.
Wao CCM pamoja na huyo mama, wanapenda jeshi la polisi linalojihusisha na siasa kwa sababu linawalinda wao dhidi ya vyama vingine vya siasa. Vyama vingine vya siasa vikitaka kufanya siasa, jeshi la polisi linatoa mkong'oto, hapo CCM wanapumua vizuri. Atalifumuaje jeshi kama hilo?
 
Wao CCM pamoja na huyo mama, wanapenda jeshi la polisi linalojihusisha na siasa kwa sababu linawalinda wao dhidi ya vyama vingine vya siasa. Vyama vingine vya siasa vikitaka kufanya siasa, jeshi la polisi linatoa mkong'oto, hapo CCM wanapumua vizuri. Atalifumuaje jeshi kama hilo?
Apo ndio mama anashauriwa vibaya na akina Kingai.
 
Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.

Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.

Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CHADEMA

Kama hatofutiwa, CHADEMA watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.

Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
CHADEMA hawatakubali kushiriki uozo huo kwa kuwa ni chama makini.
 
Back
Top Bottom