Je, Mbowe kufutiwa kesi kabla ya mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa?

Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.

Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.

Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CHADEMA

Kama hatofutiwa, CHADEMA watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.

Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
Si mlisema kesi itafutwa 14.12.2021? Kumbe mnapiga ramli tu?
 
Bila shaka vyama vya upinzani vitakuwa vya Mamose Cheyo, Lyatonga Mrema na yule mwenye nahau nyingi wa /ADA TADEA na waimba kwaya wa vyama vingine mfu
 
Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.

Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.

Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CHADEMA

Kama hatofutiwa, CHADEMA watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.

Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
Tarehe sio siku ya kutajwa kesi bali ni siku ya Hukumu (Maamuzi) ya Kesi Ndogo.
 
Back
Top Bottom