Jeshi liko hoiJeshi haliendani na kasi ya mama na limejikita katika mambo ya kisiasa kinyume na katiba.Ni kulifumua loote.
Jeshi liko hoiJeshi haliendani na kasi ya mama na limejikita katika mambo ya kisiasa kinyume na katiba.Ni kulifumua loote.
Kwa hiyo utatajirika wewe Babe la mji ?Acha kushabikia watu kunyanyaswa kwa tuhuma za kijinga .Kila Mtanzania ana haki bila kijali yupo chama gani ,kuwa na moyo wa kibinadamu ,Mbowe kuwa mahabusu hakutakufanya wewe uwe tajili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si mlisema kesi itafutwa 14.12.2021? Kumbe mnapiga ramli tu?Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.
Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.
Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?
Ikumbukwe kuwa CHADEMA ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CHADEMA
Kama hatofutiwa, CHADEMA watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.
Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
Utafikiricwewe ni mdogo wa luciferMbowe apambane na tuhuma zake,serikali ina mkono mrefu ,kajaa
Tarehe sio siku ya kutajwa kesi bali ni siku ya Hukumu (Maamuzi) ya Kesi Ndogo.Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.
Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.
Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?
Ikumbukwe kuwa CHADEMA ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CHADEMA
Kama hatofutiwa, CHADEMA watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.
Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
Asante mkuu, nimerekebisha.Tarehe sio siku ya kutajwa kesi bali ni siku ya Hukumu (Maamuzi) ya Kesi Ndogo.