Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
- Thread starter
- #61
Hakika naamini ulinzi huo ndiyo ulio muweka hai hadi sasa maana kama mungu akisema yes hakuna mswahili wa kusema no
Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu yupo nje ya Tanzania ila karibu kabisa na Tanzania na ana ulinzi husika wa nchi aliyopo. Sasa mtu alete ujinga kama hajachapwa mchana kweupe.
Sent using Jamii Forums mobile app