Tshirt mmeuza au?
Tshirt mmeuza au?
Mimi nipo sana mpaka wewe uondoke!
Tshirt mmeuza au?
Mimi nipo sana mpaka wewe uondoke!
Endelea kumuweka hewanj. Wabongo hawakawii kumsahau!
Mmawia,
mkuu, wewe sasa unataka kuua watu kwa stroke!!
Watu wasiojulikana wanaumia sana kumuona hajambo
Ni fiti kwa Saccos sisi tunamwona msaliti tu aliyeshindwa! Vitu vyote alivyokuwa anapinga tumefanikiwa kuanzia Accacia hawapotena TZ na tumefikia makubaliano na Barrick na Kampuni mpya ya Twiga imeshaanzishwa! Hapa Kazi Tu! Pia hana tena Ubunge amebaki kiongozi kwenye Saccos inayokufa baada ya October 2020.Kudadadeeeki chuma kinaonekana kipo fit, kama una ugonjwa wa moyo basi katibiwe kabisa kwa madiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Si alisema usalama wake uko hatarini? Au alikuwa anachezesha kwata wanasaccos wa Chadema ili aendelee kula ruzuku za chama huko kwa mabeberu Ubelgiji??
Hahahaha kweli nyumb ni shida! Hivi kweli Lissu wa sasa hivi ni sawa na wa 2017 kweli?? Hana ubunge pia anachechemea!! Wakati mwingine basi tumieni ubongo kidogo!
Kilema!Chuma hicho au niongeze sauti? View attachment 1327516View attachment 1327517
Sent using Jamii Forums mobile app
OngezaChuma hicho au niongeze sauti? View attachment 1327516View attachment 1327517
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha kweli nyumb ni shida! Hivi kweli Lissu wa sasa hivi ni sawa na wa 2017 kweli?? Hana ubunge pia anachechemea!! Wakati mwingine basi tumieni ubongo kidogo!
Labda Rais wa Kilimanjaro! Na huyo Chief ni wa Same mkuu!!Rais wako ajaye huyo ebu kuwa na heshima kama unavyo mheshimu chief wako mh Mnyika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi sasa watu wanateseka sana na kuweweseka kisa kuona picha za mh Lissu Makamu wa mwenyekiti wa cdm.
Je tayari amesha tua hapa nchini? Tafadhali tupeane habariView attachment 1327501View attachment 1327502
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi sasa watu wanateseka sana na kuweweseka kisa kuona picha za mh Lissu Makamu wa mwenyekiti wa cdm.
Je tayari amesha tua hapa nchini? Tafadhali tupeane habariView attachment 1327501View attachment 1327502
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati mbaya huwa mnasahau mapema. By the way, huo Urais ungekuwa unapatikana kirahisi hivyo, unafikiri Mbowe angeucha abaki chamani tu? Tia akili kichwani dogo!!!Huyo ndiye rais wako ajaye hakuna njia nyingineView attachment 1327513
Sent using Jamii Forums mobile app