Je, Lissu yupo nchini?

Si vibaya na haina shida mtu akiamua kuota ndoto mchana ni vizuri sana lakini CDM au chochote kuchukua uongozi wa Tz mbali na CCM bado saaana.
 
Ni fiti kwa Saccos sisi tunamwona msaliti tu aliyeshindwa! Vitu vyote alivyokuwa anapinga tumefanikiwa kuanzia Accacia hawapotena TZ na tumefikia makubaliano na Barrick na Kampuni mpya ya Twiga imeshaanzishwa! Hapa Kazi Tu! Pia hana tena Ubunge amebaki kiongozi kwenye Saccos inayokufa baada ya October 2020.
Kisiasa ameshindwa kweli maana kachakazwa hasa kiasi kwamba hata si Mbunge tena, Ila ki afya yeye ni mshindi. Sasa ww ulikuwa unashindana nae kisiasa au kwa afya yake? Maana wafuasi wake naona wanampongeza kwa kuishinda mauti na wewe unamshambulia kwa kushindwa kisiasa. Tuchukue nafasi hii kumpongeza kwa kupigania uhai wake na kwa uweza wa MUNGU bado yupo imara.
 
Ana kitambulisho cha NIDA?
Amesajiliwa kwenye mfumo mpya wa alama za vidole?

Mwisho 20/01/2019..hatuongezi hata sekunde.
 
Ni fiti kwa Saccos sisi tunamwona msaliti tu aliyeshindwa! Vitu vyote alivyokuwa anapinga tumefanikiwa kuanzia Accacia hawapotena TZ na tumefikia makubaliano na Barrick na Kampuni mpya ya Twiga imeshaanzishwa! Hapa Kazi Tu! Pia hana tena Ubunge amebaki kiongozi kwenye Saccos inayokufa baada ya October 2020.

Yaani wewe ni mpumbavu (sio mjinga) sijapata kuona. Mumefanikiwa nini? Accasia kawalipa hizo $190B? Au unahorojoka tuu kama punguani?
Nyie ni kizazi gani ambao mnaimbishwa upunguani na kuuamini kama mazuzu vile? Au mmezaliwa na mtindio wa ubongo?
Mnakasirisha sana hasa kwa kuona inakuwaje binadamu na utashi wenu mko kama ng'ombe kwa akili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom