Je, Lissu yupo nchini?

Je, Lissu yupo nchini?

Mbinu zenu za kishetani zimegonga mwamba kwa kutaka kuondoa uhai wa Tundu
Mungu ni mkubwa! Aliamua asife ili aone maendeleo yanayopigwa hapa TZ ili aibike zaidi unaona hata sasa anaogopa kuja TZ kwa sababu anaona aibu kujionea maendeleo tulifikia TZ alitegemea nchi itaanguka hata hao wafadhiri wamemu ignore sana na propaganda zake.
 
Utaimba sana taarabu sana hizo maana siyo ngeni kwa kuitabiria kifo cdm lkn hadi sasa kinaendelea kuwalaza na makata mbuga.

Rejea mwaka 2011 Wasira alijiapiza kuwa atahakikisha cdm inakufa kabla ya 2013 lakini yeye ndiye kafutika kwenye ramani ya kisiasa. Sasa hivi yupo kwao anaendesha kibaa kinaitwa Mirito na kuchunga mbuzi wawili.
Utakufa na stress mkuu kunywa maji. Wewe ulitaka lazima tupate hizo $190B tu. Kwa taarifa yako benefit tulizopata kwa sasa hivi ni zaidi ya hiyo $190B ila kwa kuwa akili yako ni fupi kama ulivyo mfupi ndiyo maana huwezi elewa na huyo msaliti mwenzio Lissu. Si mlisema tutashitakiwa na hizo Miga zenu! Sasa hamna tena hoja zaidi ya propaganda zenu tu. Ngoja tusubiri uchaguzi October 2020 tuifute kabisa hii Saccos na Mwenyekiti wenu wa kudumu ameshajua kuwa saccos ina kwenda kufutika TZ ndiyo maana akakimbia haraka haraka kwenda Mwanza kwenye Sherehe za Uhuru kwenda kuomba maridhiano kwa kuwa anaona mbeleni ruzuku ina kwenda kupotea! HAPA KAZI TU!
tapatalk_1458023812583-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona dili la kusaliti limedorola kwa hiyo ameamua kurudi kimya kimya.
Vipi kuhusu usalama wake, si alisema harudi mpaka ahakikishiwe kuwa atapewa ulinzi? Au ilikuwa mi mibweko ya mbwa asiye na meno 😅😅
 
Kwahiyo unakiri kuwa Mungu alikuzidi maarifa?
Mungu ni mkubwa! Aliamua asife ili aone maendeleo yanayopigwa hapa TZ ili aibike zaidi unaona hata sasa anaogopa kuja TZ kwa sababu anaona aibu kujionea maendeleo tulifikia TZ alitegemea nchi itaanguka hata hao wafadhiri wamemu ignore sana na propaganda zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu ni mkubwa! Aliamua asife ili aone maendeleo yanayopigwa hapa TZ ili aibike zaidi unaona hata sasa anaogopa kuja TZ kwa sababu anaona aibu kujionea maendeleo tulifikia TZ alitegemea nchi itaanguka hata hao wafadhiri wamemu ignore sana na propaganda zake.
Kwanini mlitaka kuondoa uhai wake?
 
Bahati mbaya huwa mnasahau mapema. By the way, huo Urais ungekuwa unapatikana kirahisi hivyo, unafikiri Mbowe angeucha abaki chamani tu? Tia akili kichwani dogo!!!
Mkuu,
Uraisi mbona unapatikana,JPM alibipu tu akaupata au hukumsikia mwenyewe?
 
Kumbe hujui basi. Ngoja ni lale tutachat kesho!
Mmekaririshwa hivyo bila kufahamu chochote. Kasome Biblia mtu mwenye tabia za kusema uongo kama zako anastahili adhabu gani?
 
Back
Top Bottom