Je, Lissu yupo nchini?

Je, Lissu yupo nchini?

Hahahaha kweli nyumb ni shida! Hivi kweli Lissu wa sasa hivi ni sawa na wa 2017 kweli?? Hana ubunge pia anachechemea!! Wakati mwingine basi tumieni ubongo kidogo!
hujafa haujaumbika wewe utakatwa miguu yote miwili naomba kwa mungu hata leo upate ajari usife Ila upate taabu uone kama CCM itakukumbuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ninyi na mimi ni nani anayeteseka zaidi kuhusu Lissu?.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk

We unayetukana inaonyesha unavyoteseka. Ila biggest loser ni Tundu Lissu aliyedhani anafanya usanii wa kushambuliwa kwa risasi na asiumie badala yake wale aliopanga nao wakabadilisha gia angani wakataka kumuua. Alipo Lissu hawezi kuusema ukweli kuwa alipanga hiyo movie na japo aliopanga nao na wakataka kummaliza hawezi kuwataja wala kuwafanya maadui inabidi aendelee kushirikiana nao japo moyoni anajua walitaka roho yake. What a shame!!
 
Akili ya kkdoo
We unayetukana inaonyesha unavyoteseka. Ila biggest loser ni Tundu Lissu aliyedhani anafanya usanii wa kushambuliwa kwa risasi na asiumie badala yake wale aliopanga nao wakabadilisha gia angani wakataka kumuua. Alipo Lissu hawezi kuusema ukweli kuwa alipanga hiyo movie na japo aliopanga nao na wakataka kummaliza hawezi kuwataja wala kuwafanya maadui inabidi aendelee kushirikiana nao japo moyoni anajua walitaka roho yake. What a shame!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida iko wapi? Nyie endeleeni kufanyia Ikulu
Haina shida. Ndiyo matumizi bora ya ruzuku. Na maandalizi yanaendelea ya kuhamishia makao makuu ya chama nchini Ubeligiji! Lengo ni kuifurumisha ccm kutoka madarakani.
 
Haina shida. Ndiyo matumizi bora ya ruzuku. Na maandalizi yanaendelea ya kuhamishia makao makuu ya chama nchini Ubeligiji! Lengo ni kuifurumisha ccm kutoka madarakani.
Hapo ni Dr Akili uko hivyo, jee ungekuwa Dr Punguani ungekuwaje?
Tumia vyema huo ubongo
 
Mbona unateseka sana ndugu yetu juu ya cdm?
Kama unaona wanatumia ruzuku isivyo wapeleke kwenye vyombo vya sheria basi
Haina shida. Ndiyo matumizi bora ya ruzuku. Na maandalizi yanaendelea ya kuhamishia makao makuu ya chama nchini Ubeligiji! Lengo ni kuifurumisha ccm kutoka madarakani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unayetukana inaonyesha unavyoteseka. Ila biggest loser ni Tundu Lissu aliyedhani anafanya usanii wa kushambuliwa kwa risasi na asiumie badala yake wale aliopanga nao wakabadilisha gia angani wakataka kumuua. Alipo Lissu hawezi kuusema ukweli kuwa alipanga hiyo movie na japo aliopanga nao na wakataka kummaliza hawezi kuwataja wala kuwafanya maadui inabidi aendelee kushirikiana nao japo moyoni anajua walitaka roho yake. What a shame!!
Vizuri kumbe Kuna watu walipanga! Tusaidie kujua walipo Kisha wakamatwe washitakiwe ...kama Ni blaablaa acha mara moja utasokomezwa hadharani chupa Za cocacola

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unayetukana inaonyesha unavyoteseka. Ila biggest loser ni Tundu Lissu aliyedhani anafanya usanii wa kushambuliwa kwa risasi na asiumie badala yake wale aliopanga nao wakabadilisha gia angani wakataka kumuua. Alipo Lissu hawezi kuusema ukweli kuwa alipanga hiyo movie na japo aliopanga nao na wakataka kummaliza hawezi kuwataja wala kuwafanya maadui inabidi aendelee kushirikiana nao japo moyoni anajua walitaka roho yake. What a shame!!
Highest stage of capitalism ni mechantalism.

Je highest stage of stupidnism?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom