Je, Lissu yupo nchini?

Je, Lissu yupo nchini?

Ni fiti kwa Saccos sisi tunamwona msaliti tu aliyeshindwa! Vitu vyote alivyokuwa anapinga tumefanikiwa kuanzia Accacia hawapotena TZ na tumefikia makubaliano na Barrick na Kampuni mpya ya Twiga imeshaanzishwa! Hapa Kazi Tu! Pia hana tena Ubunge amebaki kiongozi kwenye Saccos inayokufa baada ya October 2020.
Hebu angalia na hiyo, jee ndio mafanikio hayo?
IMG_20200120_123747.jpeg
IMG_20200120_123751.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuja kuhudhuria kikao cha kamati kuu ya chadema kilichofanyika mjini Nairobi kwenye a 5 star hotel. Baada ya kikao alirejea kwao Ubeligiji. Kikao kijacho cha kamati kuu kifanyika nchini Ubeligiji.
 
Kikubwa ni kuifurusha ccm madarakani
Alikuja kuhudhuria kikao cha kamati kuu ya chadema kilichofanyika mjini Nairobi kwenye a 5 star hotel. Baada ya kikao alirejea kwao Ubeligiji. Kikao kijacho cha kamati kuu kifanyika nchini Ubeligiji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuja kuhudhuria kikao cha kamati kuu ya chadema kilichofanyika mjini Nairobi kwenye a 5 star hotel. Baada ya kikao alirejea kwao Ubeligiji. Kikao kijacho cha kamati kuu kifanyika nchini Ubeligiji.
Shida iko wapi? Nyie endeleeni kufanyia Ikulu
 
Haina ubaya wowote ule maana kinachotakiwa ni kumfurusha mkoloni mweusi
Alikuja kuhudhuria kikao cha kamati kuu ya chadema kilichofanyika mjini Nairobi kwenye a 5 star hotel. Baada ya kikao alirejea kwao Ubeligiji. Kikao kijacho cha kamati kuu kifanyika nchini Ubeligiji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom