Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,948
- 74,431
Hebu angalia na hiyo, jee ndio mafanikio hayo?Ni fiti kwa Saccos sisi tunamwona msaliti tu aliyeshindwa! Vitu vyote alivyokuwa anapinga tumefanikiwa kuanzia Accacia hawapotena TZ na tumefikia makubaliano na Barrick na Kampuni mpya ya Twiga imeshaanzishwa! Hapa Kazi Tu! Pia hana tena Ubunge amebaki kiongozi kwenye Saccos inayokufa baada ya October 2020.
Sent using Jamii Forums mobile app

