Je, Lissu yupo nchini?

Je, Lissu yupo nchini?

Vizuri kumbe Kuna watu walipanga! Tusaidie kujua walipo Kisha wakamatwe washitakiwe ...kama Ni blaablaa acha mara moja utasokomezwa hadharani chupa Za cocacola

Sent using Jamii Forums mobile app

Tundu Lissu knows the whole drama. Wapi ulimwona mwanasheria aliyebobea anaita waandishi wa habari kuwatangazia yuko hatarini watu wanamfuata fuata? Tena alifanya hivyo mara 2. Hata mtu asiyefahamu sana sheria anajua anatakiwa aende polisi ajieleze aulizwe maswali na baadaye asaini statement na kupewa RB. Lakini Lissu aliende kwa watu ambao hawatamuuliza maswali na hataandika statement ambayo itatumika kwenye hilo shauri. Halafu kama hutaki kujitoa ufahamu kumbuka kuna wakati IGP Sirro alitamka atatuma polisi wake kwenda Nairobi kuwahoji Lissu na dereva. Je unakumbuka mtu wa kwanza ku-respond alikuwa nani?? Kama umesahau alikuwa Tundu Lissu na alisema kuwa polisi wa TZ hawawezi kumhoji akiwa Kenya bila kupata kibali cha DPP wa Kenya. Kitu gani kilimfanya Lissu adhani kuwa Sirro alikuwa hajui taratibu??? Sio dalili za kutotaka kuhojiwa? Na baada ya Sirro kutamka vile ebu jikumbushe ilichukua siku ngapi Lissu na dereva wake walihama Kenya na kwenda Belgium. My friend, usikubali kujivua ufahamu kirahisi hivyo.
 
Tundu Lissu knows the whole drama. Wapi ulimwona mwanasheria aliyebobea anaita waandishi wa habari kuwatangazia yuko hatarini watu wanamfuata fuata? Tena alifanya hivyo mara 2. Hata mtu asiyefahamu sana sheria anajua anatakiwa aende polisi ajieleze aulizwe maswali na baadaye asaini statement na kupewa RB. Lakini Lissu aliende kwa watu ambao hawatamuuliza maswali na hataandika statement ambayo itatumika kwenye hilo shauri. Halafu kama hutaki kujitoa ufahamu kumbuka kuna wakati IGP Sirro alitamka atatuma polisi wake kwenda Nairobi kuwahoji Lissu na dereva. Je unakumbuka mtu wa kwanza ku-respond alikuwa nani?? Kama umesahau alikuwa Tundu Lissu na alisema kuwa polisi wa TZ hawawezi kumhoji akiwa Kenya bila kupata kibali cha DPP wa Kenya. Kitu gani kilimfanya Lissu adhani kuwa Sirro alikuwa hajui taratibu??? Sio dalili za kutotaka kuhojiwa? Na baada ya Sirro kutamka vile ebu jikumbushe ilichukua siku ngapi Lissu na dereva wake walihama Kenya na kwenda Belgium. My friend, usikubali kujivua ufahamu kirahisi hivyo.
Wewe zezeta jibu swali moja tu.pale pana ulinzi nani alitoa amri ya wasiwepo mda ule?.maelezo ya kishetani mengi yanakutoka ndiyo ukome kushiriki Dhambi za watu wengine na kwa MUNGU lazima udaiwe damu za watu ulizoshiriki kuuwa ili kufurahisha vimungu visivyo na uwezo hata wa kuumba nyasi.huu utunzi wako mwadisie zezeta atakuelewa.
 
Tuachane na siasa
Mtanzania yeyote hapaswi hufanywa kama lissu
.
 
Tundu Lissu knows the whole drama. Wapi ulimwona mwanasheria aliyebobea anaita waandishi wa habari kuwatangazia yuko hatarini watu wanamfuata fuata? Tena alifanya hivyo mara 2. Hata mtu asiyefahamu sana sheria anajua anatakiwa aende polisi ajieleze aulizwe maswali na baadaye asaini statement na kupewa RB. Lakini Lissu aliende kwa watu ambao hawatamuuliza maswali na hataandika statement ambayo itatumika kwenye hilo shauri. Halafu kama hutaki kujitoa ufahamu kumbuka kuna wakati IGP Sirro alitamka atatuma polisi wake kwenda Nairobi kuwahoji Lissu na dereva. Je unakumbuka mtu wa kwanza ku-respond alikuwa nani?? Kama umesahau alikuwa Tundu Lissu na alisema kuwa polisi wa TZ hawawezi kumhoji akiwa Kenya bila kupata kibali cha DPP wa Kenya. Kitu gani kilimfanya Lissu adhani kuwa Sirro alikuwa hajui taratibu??? Sio dalili za kutotaka kuhojiwa? Na baada ya Sirro kutamka vile ebu jikumbushe ilichukua siku ngapi Lissu na dereva wake walihama Kenya na kwenda Belgium. My friend, usikubali kujivua ufahamu kirahisi hivyo.
kwa hiyo unataka kusema alingoa camera .kisha akatengeneza watu wa kumpiga risasi
 
kwa hiyo unataka kusema alingoa camera .kisha akatengeneza watu wa kumpiga risasi

HAKUNA KAMERA YOYOTE ILIYONG'OLEWA. HIZI NI NGONJERA ZA WAKATI ULE NA KAMWE HAWADHUBUTU KUZIRUDIA KWA SABABU WANAJUA UCHUNGUZI YPO TENA SANA WANASUBIRI WAHUSIKA WARUDI TZ MAMBO YA KIMAHAKAMA YAANZE
 
HAKUNA KAMERA YOYOTE ILIYONG'OLEWA. HIZI NI NGONJERA ZA WAKATI ULE NA KAMWE HAWADHUBUTU KUZIRUDIA KWA SABABU WANAJUA UCHUNGUZI YPO TENA SANA WANASUBIRI WAHUSIKA WARUDI TZ MAMBO YA KIMAHAKAMA YAANZE
Kwa nn hiyo footprint isioneshwe hadharani tusaidie pia wananch.
 
Wewe zezeta jibu swali moja tu.pale pana ulinzi nani alitoa amri ya wasiwepo mda ule?.maelezo ya kishetani mengi yanakutoka ndiyo ukome kushiriki Dhambi za watu wengine na kwa MUNGU lazima udaiwe damu za watu ulizoshiriki kuuwa ili kufurahisha vimungu visivyo na uwezo hata wa kuumba nyasi.huu utunzi wako mwadisie zezeta atakuelewa.

Hiyo dozi ya matusi bado haifikii uwezo wako kwa sababu unalipwa kwa kumwaga matusi kama ulivyosomea. Hizi ngonjera za mara walinzi waliondolewa, mara CCTV ziling'olewa ni makelele tu ya kutunga.
 
Kwa nn hiyo footprint isioneshwe hadharani tusaidie pia wananch.

Uchunguzi wa kesi za jinai sio ligi ya mpira wa mguu unasema dakika ya ngapi tumefikia wapi n.k. Mambo yote yatawekwa wazi mahakamani na ndio maana watu wanatafuta kila sababu ya kutorudi nchini. Mara anatibiwa kisaikolojia, mara anatafutiwa shule asome certificate baadaye diploma and then degree. Hivi mtu ambaye hajajiondoa ufahamu kweli haoni hii fix ya sababu za kutokuja nchini kwake?
 
Hiyo dozi ya matusi bado haifikii uwezo wako kwa sababu unalipwa kwa kumwaga matusi kama ulivyosomea. Hizi ngonjera za mara walinzi waliondolewa, mara CCTV ziling'olewa ni makelele tu ya kutunga.
Muogope mungu.aliemteka moo ,anaelea mambo ya muragi,bensaane itakuwa ni mipango ya kiki ya CHADEMA
 
Uchunguzi wa kesi za jinai sio ligi ya mpira wa mguu unasema dakika ya ngapi tumefikia wapi n.k. Mambo yote yatawekwa wazi mahakamani na ndio maana watu wanatafuta kila sababu ya kutorudi nchini. Mara anatibiwa kisaikolojia, mara anatafutiwa shule asome certificate baadaye diploma and then degree. Hivi mtu ambaye hajajiondoa ufahamu kweli haoni hii fix ya sababu za kutokuja nchini kwake?
Unaamini watanzania wako salama kama enzi za kikwete ,unaamini wanatekwa na wapenzi wao?kaka mshahara kula ila usishiriki dhambi watalipia wanao biblia imetuahidi
 
Hiyo dozi ya matusi bado haifikii uwezo wako kwa sababu unalipwa kwa kumwaga matusi kama ulivyosomea. Hizi ngonjera za mara walinzi waliondolewa, mara CCTV ziling'olewa ni makelele tu ya kutunga.
Ujajibu swali? Kwanini walinzi waliondolewa?.
 
Unaamini watanzania wako salama kama enzi za kikwete ,unaamini wanatekwa na wapenzi wao?kaka mshahara kula ila usishiriki dhambi watalipia wanao biblia imetuahidi

JIVALISHE UPYA UFAHAMU WAKO KISHA TAFAKARI SABABU ZINAZOTOLEWA KWA NINI DEREVA NA LISSU WAKE WAKAE UGHAIBUNI KWA GHARAMA KUBWA NDIPO UTAONA KUNA MAMBON YANAYOFICHWA KWA NGUVU NA GHARAMA SANA
 
HAKUNA MLINZI ALIYEONDOLEWA. USIKUBALI POROJO MY FRIEND
Hawapo walinzi pale?. Ndugu unajipa kazi ngumu sana kuficha hii dhambi huwezi maana hata shetani aliyewaongoza kuitenda kashaifichua. Pole sana
 
Now you are talking. Precisely you are describing yourself. Keep on
Sometimes, speaking and talking are inseparable terms.Our conditions really justify who we are even though we don't like to disclose the purposes.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
SASA UMEACHA MATUSI. SAFI SANA. SOMO LINAANZA KUINGIA
The way unavyonijibu ni kama mimi nakusihi uwe na huruma ,kisha wewe unaniambia ukiomba kwa adabu naweza kukusaidia kuwa huru na kuishi bila wasiwas,I say f@$k .
Kwenye nchi hii hakuna wa kumuonya mwingine we are too much equal ,nchi ni ya watanzania ,chama tawala ni waajiriwa (house gils and boys ) wa wananchi.
Wewe unaona kila kitu kiko sawa ,mimi nduguyo nakwambia hatuko sawa na mi mimi sina furaha kama wewe tuyaongee na tumezaliwa mapacha ,lazima ujue bensaanane nduguze wanaamini aliye muua ndugu yao ni .... na nyuma yake kuna watu wengi ,anandugu wa damu wasiopungua 50,ana marafiki aliosomanao hadi chuo wa karibu 100,ana wanachadema wenzie wanaolia chooni 1000 hawa wanafamiliazao multipler effect ya wenye kumlilia dogo haipungui 10,000 hapo sijaweka wanaolia twitter ,instagram,jamii forum nikiwemo mimi hapo unapata idadi ya kata kubwa kabisa ,kila mnaempoteza mmepoteza idadi ya kata ambayo itawachukia mpaka kaburini .
ADVICE: Kabla ya suluhisho kwa fujo huanza amani mbowe alijishusha kuhudhulia sherehe zile kisha akasema suluhisho MARIDHIANO.Sio ya chadema na CCM ,bali ya watanzania kariakoo ukipita na shati la CCM unazoomewa ,Je wale ni Chadema ? kwenye mitandao hata wakenya wanasema watanzania hushambuliana sana .Naomba nikupe kazi nenda page ya magufuli kaingie kwenye comment za watanzania sample 20 za kwanza angalia mtu anatumia jina halisi ila anaongea hovyo haogopi tena usikute nduguye alitumbuliwa kwa vyeti feki akibakiza mwezi kustaafu bila kesi ,lakini anashuhudia wenye vyeo waliofoji vyeti
 
Back
Top Bottom