Je, Lissu yupo nchini?

Je, Lissu yupo nchini?

Teh teh teh at ana ulinzi imara nchi jirani, yeye aje tu hatuna haja naye wala hana athari yoyote, kama mnadhani ni turufu basi ni garasa MTz hadanganyiki, kipindi ambacho mtashangazwa mpaka mbaki midomo wazi ni 2020, niliwapa ushauri wa bure wapinzani wote pendekezeni tu kusiwepo uchaguzi hiyo fedha iongeze upatikanaji wa maji vijijini. kwa ninyi kushinda ndoto mkipata hata majimbo 5 mje niwape zawadi.
Kwa mbinu yenu ile ile ya uchafuzi wa serikali za mitaa?. Washenzi ninyi.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Utakufa na stress mkuu kunywa maji. Wewe ulitaka lazima tupate hizo $190B tu. Kwa taarifa yako benefit tulizopata kwa sasa hivi ni zaidi ya hiyo $190B ila kwa kuwa akili yako ni fupi kama ulivyo mfupi ndiyo maana huwezi elewa na huyo msaliti mwenzio Lissu. Si mlisema tutashitakiwa na hizo Miga zenu! Sasa hamna tena hoja zaidi ya propaganda zenu tu. Ngoja tusubiri uchaguzi October 2020 tuifute kabisa hii Saccos na Mwenyekiti wenu wa kudumu ameshajua kuwa saccos ina kwenda kufutika TZ ndiyo maana akakimbia haraka haraka kwenda Mwanza kwenye Sherehe za Uhuru kwenda kuomba maridhiano kwa kuwa anaona mbeleni ruzuku ina kwenda kupotea! HAPA KAZI TU!
Benefits kutoka kwa shetani wako mkuu au?.Wadanganye wapumbavu wenzio wa Lumumba.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Mungu ni mkubwa! Aliamua asife ili aone maendeleo yanayopigwa hapa TZ ili aibike zaidi unaona hata sasa anaogopa kuja TZ kwa sababu anaona aibu kujionea maendeleo tulifikia TZ alitegemea nchi itaanguka hata hao wafadhiri wamemu ignore sana na propaganda zake.
Maendeleo yenyewe yako wapi?.Labda ya Juha na mwanae

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Subiri uone. Lissu anaijua hiyo kesi na hiyo movie kuliko unavyoijua wewe. Ndio maana anatumia gharama kubwa mno sana kumficha dereva wake na yeye kukaa huko aliko.
Endelea kuharisha mkuu.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
UCHUNGUZI UMEFANYIKA NA UMEKWISHA. WAHUSIKA WAKUU WANASUBIRIWA NA MMOJA WAO NI LISSU. HIZO NGONJERA MARA WALINZI WALIONDOLEWA MARA CCTV ZILIFUNGULIWA NI HABARI ZA KUTUNGA NA KESI ITAKAPONGURUMA HATA WEWE UTAUFAHAMU UKWELI
Uchunguzi uliofanywa na wewe Kenge au?

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Atakufa mama yako kwanza! Vipi ile taarifa yako ya uongo ya mauaji ziwa victoria ulishapeleka taarifa kwa mabwana zako!
Mabwana zako pia.Kwani hujui kuwa hao ndio wafadhili wa vyoo ambavyo vilizinduliwa na Waziri wako?Pumbaaaaaaaaavu.Kwenu wanaitwa wahisani.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Nishawekwa Huru na KWELI ya NENO LA MUNGU. Sihitaji ujanja wa kishetani kama wako ili kujuwa UKWELI wa nani muhusika wa tukio la Lisu. hata shetani atawaumbua kwa ushenzi wenu.mna mikononi iliyojaa damu za watu.

Pole zaidi. Hilo neno la Mungu linalokuongoza kuukataa ukweli, mmmhhh
 
Bado hujatoa matusi ya kutosha. Sawa ikikuingia lazima uyatoe matusi kwa kuwa ndio utaalamu wako.
Wewe na wapuuzi wenzio wa Lumumba ndio mlioingiliwa na Lissu vichwani.Hakika huyu mtu hatowatoka vichwani.Sababu mnazijua sana.Hata Kiranja wenu analijua hilo.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Acheni kumpa Lissu kiburi,mnamponza Sana pro Chadema.Unaona Hadi ubunge Hana Sasa kabakia makamu wa Mbowe tu.
Anyway mshaurini tu arudi Nchini kuendelea na kesi zake.
 
Yani ukisikia shetani wa jf Ndio mtu Kama wewe kwahiyo mliompiga risasi hamna hatia ila mwenye hatia ni aliepigwa risasi na aliemuokoa doh aisee kisasi chenu kitakua kibaya Sana kwasababu kitachanganya na hasira pia maana mnawaza ushetani.

Jitahidi zaidi kujivua ufahamu. Mwisho utaelimishwa tuuu
 
Dawa imekuingia huna ujanja ni lazima utoe matusi tu. Endelea labda utajifariji
Hivi ninyi na mimi ni nani anayeteseka zaidi kuhusu Lissu?.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Pole zaidi. Hilo neno la Mungu linalokuongoza kuukataa ukweli, mmmhhh
Umwagaji wa damu hutowasaidia chochote zaidi ya kuwatesa tuu daima.Ni furaha ya kitambo kidogo tu inayofuatiwa na majuto daima.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Acheni kumpa Lissu kiburi,mnamponza Sana pro Chadema.Unaona Hadi ubunge Hana Sasa kabakia makamu wa Mbowe tu.
Anyway mshaurini tu arudi Nchini kuendelea na kesi zake.
Haaaaahaaaaa.Naiona sauti ya kupe mkuu ndani yako.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom