Je, Lissu yupo nchini?

Je, Lissu yupo nchini?

Kama mazingira ya ndani hayalo conducive sioni shida wakifanyia kikao nje, suala ni je sheria za Kenya zinaruhusu mikutano au shughuli za kisiasa(kama itathibitika kweli ni ya kisiasa) za nchi nyingine zifanyike nchini mwao?
 
Hujawa huru wewe. Subiri utaufahamu ukweli na utakuwa huru. Achana na hadithi za kutunga.
Nishawekwa Huru na KWELI ya NENO LA MUNGU. Sihitaji ujanja wa kishetani kama wako ili kujuwa UKWELI wa nani muhusika wa tukio la Lisu. hata shetani atawaumbua kwa ushenzi wenu.mna mikononi iliyojaa damu za watu.
 
Ni fiti kwa Saccos sisi tunamwona msaliti tu aliyeshindwa! Vitu vyote alivyokuwa anapinga tumefanikiwa kuanzia Accacia hawapotena TZ na tumefikia makubaliano na Barrick na Kampuni mpya ya Twiga imeshaanzishwa! Hapa Kazi Tu! Pia hana tena Ubunge amebaki kiongozi kwenye Saccos inayokufa baada ya October 2020.
Kwa kweli Watanzania tuna safari ndefu sana mpaka kuufikia ukombozi wa kifikra ambao ni msingi wa maendeleo ya watu.
Hivi huko kwenye praise quoir wewe waimba waimba sauti ya ngapi? Sifa ya huko 'kwenu nyie' ni kujiruhusu na kushindana kwa kuwa na ufahamu duni na kushangilia kila kitu.

Kwa wasomi hasa wenye PhD, Mprofesa, ni kuwa na bidii ya kumsifu na kila wakati kumtajataja majina yote, kukosa SONI ya kusema hata uongo, pamoja na uwezo mkubwa wa kujitoa fahamu hadharani kama Bashiru na Kabundi.
 
Back
Top Bottom