Je, Lissu yupo nchini?

Je, Lissu yupo nchini?

Siku zake zikifika ataondoka tu kama wewe utavyoondoka!
Hata yule anayebandika watu kesi uchwara za utakatishaji na kupotezana mwambie naye atalipwa vivyo hivyo. Kipimo anachopimia wenzake naye atapimiwa hivyo hivyo.
 
LISSU HAJI LEO WALA KESHO. ANAJUA KESI INAMSUBIRI KUHUSU KUSHAMBULIWA KWAKE. JE DEREVA WAKE NAYE KAJA? AU ANADHANI KUKOSEKANA KWA DEREVA WAKE NDIO HATASHTAKIWA? ILA WAKIWEPO WOTE WAWILI KESI NDIO ITANOGA NA ITACHUKUA MUDA MFUPI KUMALIZIKA.
Yani ukisikia shetani wa jf Ndio mtu Kama wewe kwahiyo mliompiga risasi hamna hatia ila mwenye hatia ni aliepigwa risasi na aliemuokoa doh aisee kisasi chenu kitakua kibaya Sana kwasababu kitachanganya na hasira pia maana mnawaza ushetani.
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Antipas Lissu na vigogo wengine wa chama hicho wamefanya kikao chao cha kwanza tangu Uongozi mpya uingie madarakani.

Kikao hicho kimefanyikia jijini Nairobi nchini Kenya.

Source Mwananchi!
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu na vigogo wengine wa chama hicho wamefanya kikao chao cha kwanza tangu Uongozi mpya uingie madarakani.

Kikao hicho kimefanyikia jijini Nairobi nchini Kenya.

Source Mwananchi!
Mh wewe ni jike nadhani, maana kwa tabia hizo ni za kike kabisa! Umbea umbea umbea!
 
Back
Top Bottom