Je, Lissu yupo nchini?

Je, Lissu yupo nchini?

Yeah kama kweli yupo nchini basi chadema ni chama makin sana kuweza kufanya mchakato huo chini ya maji bila hawa wauwaji kujua #lisu2020


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Angalia usije kujikuta unaenda wewe kujibu shutuma na kutubishwa kwa muumba
Lissu is a dying horse. Hata Umakamu "aliopewa" ni ku save his face! Kama mtu anaishi Ulaya lakini anategemea hela ya kula kutoka kwenye michango ya kapuku kama Mmawia unategemea nini! Muda si mrefu Lissu ataomba po kwa Jiwe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni aibu sana kwamba hakuna mwana Chadema anayejua elimu ya Mwenyekiti wao Mbowe. Nafikiri hata Saanane alipoujua ukweli wa elimu ya bosi wake, kwa aibu akaaamua "kujipoteza"! Mmebaki nyumbu kama wewe Mmawia usiyejua kitu zaidi ya kuabudu na kutukuza tu. Ipo siku atakuagiza umpelekee mkeo na utampelekea!!
 
Inaonekana wewe ni kati ya wahusika wa hilo tukio
Ni aibu sana kwamba hakuna mwana Chadema anayejua elimu ya Mwenyekiti wao Mbowe. Nafikiri hata Saanane alipoujua ukweli wa elimu ya bosi wake, kwa aibu akaaamua "kujipoteza"! Mmebaki nyumbu kama wewe Mmawia usiyejua kitu zaidi ya kuabudu na kutukuza tu. Ipo siku atakuagiza umpelekee mkeo na utampelekea!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikukuta asubuhi hapo lumumba unadoea bundle kwa chakubanga
Tatizo la uelewa wenu. Kila siku nasema nipo Mwanza City, wewe umeng'ang'ania Lumumba. Ninyi ndio wale wajinga mnaofikiri kila mtu yupo Dar es Salaam. Pumbavu!
tapatalk_1567627458569.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom