Je, Lissu yupo nchini?

Je, Lissu yupo nchini?

Kisiasa ameshindwa kweli maana kachakazwa hasa kiasi kwamba hata si Mbunge tena, Ila ki afya yeye ni mshindi. Sasa ww ulikuwa unashindana nae kisiasa au kwa afya yake? Maana wafuasi wake naona wanampongeza kwa kuishinda mauti na wewe unamshambulia kwa kushindwa kisiasa. Tuchukue nafasi hii kumpongeza kwa kupigania uhai wake na kwa uweza wa MUNGU bado yupo imara.
Ilo shetani UCD ukitaja MUNGU linachukia sababu ni moja la mashetani yaliyomkasirikia MUNGU kwa kumponya LISU. Na wao kushindwa kwa UWEZA WA MUNGU
 
Waumie kwa lipi? Huyo msaliti wakati hata ubunge hana tena!

Bora huyo rais ndio kaamua asiwe mbunge lakini kachaguliwa na wananchi, kuliko yule aliyechaguliwa na rais na sio wananchi.
 
Unatisha mukuubwaaa.

Chuma hicho kwenye ubora wake
Karibu sana Nyumbani Mr. President 2020

"Mopao Mokonzi"
Screenshot_20200119-195527.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
UCHUNGUZI UMEFANYIKA NA UMEKWISHA. WAHUSIKA WAKUU WANASUBIRIWA NA MMOJA WAO NI LISSU. HIZO NGONJERA MARA WALINZI WALIONDOLEWA MARA CCTV ZILIFUNGULIWA NI HABARI ZA KUTUNGA NA KESI ITAKAPONGURUMA HATA WEWE UTAUFAHAMU UKWELI
UNA UPUUZI MWINGI SANA UKIDHANI JF KUNA MAZEZETA YASIYOFIKIRIA KAMA WEWE.
 
Usilojua.
Inaweza kuwa mbinu mpya, tena ya hatari zaidi kuliko unavyodhani.

Mwenye maguvu usitake kupambana naye kwa maguvu ambayo wewe huna. Tumia njia mbadala ya maguvu zitakazofanya kazi nzuri zaidi.
[/QUOTE
Kama unaamini hivyo, Sawa. Ngoja tuone matokeo ya hiyo mbinu "hatari". Ahahahahahahh!
 
Back
Top Bottom