Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

Ufufuo ni wa watu wote siku ya Kiama, tangu Adamu hadi mtu wa mwisho kabisa kuzaliwa kabla ya kuja kwa Kristu mara ya pili.

Ama mtu alisoma Biblia au hakusoma, alimwamini Mungu au hakumwamini, wote watafufuliwa -- ili kila mtu apate ijara ya matendo yake.


Again, this is a preposterous logic.
Hakuna dhambi dunia kwani Mungu aliumba viumbe wote na kuwabariki pamoja na matendo yao.

Hizo dhambi zimepandikizwa na kuhasisiwa na wahuni wazungu.

Kama sex ni dhambi sasa viumbe wangezalianaje na kuijaza hiyo dunia kama mnavyoambiwa mzaane na je sex ni dhambi kwa watu tu ila kwa wanyama wao ni sawa tu?

Kama mnaamini binadamu wa kwanza ni adam na eva sasa hamuoni hapo kuwa wote mnafanya mapenzi na ndugu zenu i.e:kaka na dada,n.k.?
 
Hakuna dhambi dunia kwani Mungu aliumba viumbe wote na kuwabariki pamoja na matendo yao.
Kuua, kuiba, kusema uongo, kutukana, kukashifu ni kosa ama siyo kosa?

Kama sex ni dhambi sasa viumbe wangezalianaje na kuijaza hiyo dunia kama mnavyoambiwa mzaane na je sex ni dhambi kwa watu tu ila kwa wanyama wao ni sawa tu?
Iwapo huwezi kuona tofauti kati ya mnyama hayawani na mwanadamu, basi kazi unayo.

Kwa nini mwanadamu anavaa nguo kuficha uchi wake, wakati ambapo hayawani hawaoni haya?

Wanaitwa haya-wani kwa vile hawana haya. Their life is at the mercy of environmental factors almost 100%.

Mwanadamu ni tofauti na hayawani kwa sababu ameumbwa kipekee, akajaliwa akili yenye maarifa na utambuzi.

Yuko huru kuchagua mema na kukataa mabaya. Ameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Ana utashi ama freewill.

Ndiye mtawala wa dunia juu ya viumbe wengine wote, kwa niaba ya Mungu. Ndiye balozi wa kulinda mazingira ya Sayari Dunia.

Miongoni mwa viumbe wote duniani, mwanadamu tu ndiye awajibikaye kwa matendo yake mbele ya Mungu.

Kama asingekuwa tofauti na viumbe wengine hayawani, uwajibishwaji wake usingekuwa wa haki.

Lakini kwa vile anaweza kufikiri, kubuni mipango na kutekeleza, kuvumbua vitu vipya na kugundua visivyojulikana bado, kuunda na kusanifu, kujisimamia na kuwalinda viumbe wengine, basi uwajibikaji wake mbele ya Mungu, siyo tu kwamba ni haki inayomstahili, bali pia ni sharti la lazima.

Kama mnaamini binadamu wa kwanza ni adam na Eva sasa hamuoni hapo kuwa wote mnafanya mapenzi na ndugu zenu i.e:kaka na dada,n.k.?
Ulitaka mwanadamu afanye mapenzi na punda au nguruwe?

Wakati wa Adamu na Hawa hadi kipindi fulani baadaye, ilikuwa ruhusa kwa wanadamu kuoana ndugu wa karibu.

Lakini baada ya muda, na idadi ya watu kuongezeka, desturi hiyo Mungu akaagiza isitishwe.

Siyo tu kwa kigezo cha kimaadili, lakini pia kibaiolojia, kuzaliana na ndugu wa karibu ni hatari kiafya kwa sababu ya ukaribu ama ufanano mkubwa katika kidimbwi husika cha vinasaba (genetic pool).

It was not a problem during Adam's times because sin had not wrought out so much debilitating effects on earth as we currently witness.

As time goes by, owing to sin, our physical nature degenerates. The power and vigor that Adam enjoyed outweigh by far those of even the healthiest individuals of our day.

This is one reason why Adam and his contemporaries were able to live for almost a millennium, whereas these days it's common to find centenarians celebrated as too special to merit a place in the Guinness Book of World records. Isn't that interesting? Saddening, even?

Nafsi ni inakuwepo tu ukiwa hai ukifa hakuna haja ya kuwa na hiyo nafsi , just energy tu.
How is ^just energy^ considered a living being?
 
Kuua, kuiba, kusema uongo, kutukana, kukashifu ni kosa ama siyo kosa?


Iwapo huwezi kuona tofauti kati ya mnyama hayawani na mwanadamu, basi kazi unayo.

Kwa nini mwanadamu anavaa nguo kuficha uchi wake, wakati ambapo hayawani hawaoni haya?

Mwanadamu ni tofauti na hayawani kwa sababu ameumbwa kitofauti kwa kujaliwa akili yenye maarifa na utambuzi.

Yuko huru kuchagua mema na kukataa mabaya. Ameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Ana utashi ama freewill.

Ndiye mtawala wa dunia juu ya viumbe wengine wote, kwa niaba ya Mungu.


Ulitaka mwanadamu afanye mapenzi ya punda au nguruwe?

Wakati wa Adamu na Hawa hadi kipindi fulani, ilikuwa ruhusa kwa wanadamu kuoana ndugu wa karibu.

Lakini baada ya muda, na idadi ya watu kuongezeka, desturi hiyo Mungu akaagiza isitishwe.

Siyo tu kwa kigezo cha kimaadili, lakini pia kibaiolojia, kuzaliana na ndugu wa karibu ni hatari kiafya kwa sababu ya ukaribu mkubwa wa vinasaba vya ndugu wa karibu.

It was not a problem during Adam's times because sin had not wrought out so much debilitating effects as we currently see.

As time goes by, owing to sin, our physical nature degenerates. The power and vigor that Adam enjoyed outweigh by far those of even the healthiest individuals of our day.

This is why Adam and his contemporaries were able to live almost a millennium, while these days a person of just a hundred plus years is considered worthy of Guinness Book of World records. Isn't that interesting? Saddening, even?


How is ^just energy^ be considered a living being?
Na ungeandika lugha moja ingesaidia
 
Ufufuo ni wa watu wote siku ya Kiama, tangu Adamu hadi mtu wa mwisho kabisa kuzaliwa kabla ya kuja kwa Kristu mara ya pili.

Ama mtu alisoma Biblia au hakusoma, alimwamini Mungu au hakumwamini, wote watafufuliwa -- ili kila mtu apate ijara ya matendo yake.


Tofauti na wapagani, Wakristu tunaamini kwamba hapa duniani tuko kwa makusudi maalumu tunayopaswa kutimiza.

Mojawapo kuu ni kuufahamisha ulimwengu kuhusu upendo mkuu wa Mungu na msamaha Wake kwa wadhambi.

Sasa mjumbe wa Mungu hawezi kutamani kuyaondoka maisha haya eti akimbilie umauti. It doesn't make sense. Does it?

Even if you die today, you would still have to wait in your grave until resurrection day.

Also, committing suicide is sin.


Hii ni dhana finyu, duni na potofu kuhusu Mungu.

Wapendwa wako waliokufa hawajui lolote huko kaburini.

Kama unafanikiwa kuzungumza nao, kama usemavyo, basi utakuwa unawasiliana na mizimu au mashetani.

Nao pia wana uwezo wa kukupa baadhi ya vitu upendavyo, kwa muda kitambo.

This is how they lie to you only to cast you into a dense pit of delusions.


Ni akili ndogo kumkataa Mungu kisa tu hataokoa miti, bakteria, virusi, ndege, na wanyama wengine pamoja na mwanadamu siku ya mwisho.

Wewe ni aina ya wale watu wanaosema akijua iwapo wapendwa wake fulani na fulani hawapo mbinguni, yeye pia haoni sababu ya kuwa huko.

Unatakiwa kuelewa kwamba kifo ni matokeo ya dhambi. Dhambi ni uchaguzi wa hiari wa mwanadamu.

Mungu hakukusudia katika mpango Wake afe kiumbe hata mmoja. Aliumba ili viishi milele.


It's just a worded conglomeration full of garbage.


Umejuaje hilo? Hebu fafanua hiyo miaka milioni. Ni milioni moja au milioni ngapi?

Tangu Adamu na Hawa, tuna miaka 6,000 tu ya binadamu duniani.

Geology may be very amusing, but also gravely deceptive at times. Any reasonable individual would be unfazed by it's novelties.


Mungu hawezi kukufanyia kamwe kitu ambacho amekupa uwezo wa kutenda wewe mwenyewe.

Sisi wanadamu ndio mikono tendaji ya Mungu duniani. Anamtumia mwanadamu ili kutimiza makusudi Yake matukufu.

Aliwavuvia wanadamu wakaiandika Biblia. Aliwapa ujumbe kupitia maono, nao wakaandika kwa kutumia lugha yao inayoeleweka kwa wanadamu.

Biblia wangeiandika malaika, bila shaka ingekuwa imejaa lugha waielewayo malaika.

Ila yenyewe ni kwa ajili ya mwanadamu, hivyo ina lugha na maneno yaelewekayo kwa mwanadamu.

Think! Stop being brain dead and prejudiced against matters so reasonably clear.


Kwanza tambua ufufuo ulihitajika kwa sababu ya kifo. Kifo kilisababishwa na dhambi.

It means dhambi ilipoingia tu, mwanadamu alifundishwa kuhusu msamaha wa Mungu kupitia Kristu, na ukombozi ambapo Mungu humpatia yeyote amwaminiye.


Ulikuwa katika mawazo ya Mungu. Alikujua hata kabla ya wakati. Anamjua kila mtu tangu mwanzo.

Kila kitu kinachofanyika na kutokea duniani, tayari Mungu alishakiona hata kabla.


Sasa wewe kumbe tatizo lako ni kula mabata, ndipo akili yako imeishia?

Wengine wanawaza mambo makuu zaidi ya ulaji tu wa mabata.

As if usipoyala hayo mabata, ukafa, utakuwa umemisi chochote? Akili ama kweli ni mali.


Kumbe vitabu vya saikolojia, historia, sayansi na hesabu ulivyojaza ubongoni vimeandikwa na malaika?

Will you try to be consistent even for five minutes?


Hivi kweli uwezo wa fikra zako kuhusu mungu wako ndipo hapo umegota?


Na nani? Lini? Wapi? Nangoja ufafanuzi.

Siyo kwamba wewe ndiye tapeli?


Hapo sasa utakuwa unahitaji msaada au unamjaribu?

Ukimwomba Mungu kwa imani, anatenda. Wala hakuna shaka juu ya hilo.


Unataka vigezo 3 vya uwepo wa Mungu, wakati huohuo unataka uachwe ule upepo? Halafu, hivi nani kakushika kwani eti?


Kwa hiyo wewe hapo vitabu vyote ulivyo navyo au usomavyo, wameandika Wabongo tu?


Huu unaitwa umizimu ama ushetani. Usiseme tena hujaambiwa.


Asee! It's very saddening that your picture of God is very rudimentary.

How in the world would a holy and loving God put off a sincere prayer from His dear children?


Nitajie chama hata kimoja ambacho hupaswi kutoa michango yako ili kukisaidia.

Sadaka katika suala la imani ina makusudi makubwa sana, kwa mhusika na kwa kazi ya injili.

By the way, usisahau unakuja mikono mitupu duniani, ukifa unatoweka mikono mitupu.

Mali na utajiri vinapaswa vitumike kwa kusudi maalumu, plus kuwasaidia wahitaji.

Even successful individuals such as Bill Gates and Cristiano Ronaldo know very well that philanthropic lifestyle is the only pathway to true fulfillment and happiness.


Kauli yako ni sawa na kusema hutaki reli kwa sababu aliijenga mkoloni, tena kwa kumtesa babu yako.

Ulishawahi kuelewa maana ya msemo: Usimtupe jongoo na mti wake?


Biblia haina Uzungu wala Uarabu wala Uchina. Naamini na Msahafu uko hivyo pia.

Mungu anakuona wewe kama mwanadamu, na wala siyo kupitia rangi ya ngozi yako.

Halafu, nisaidie kujua Mzungu ni nani? Mwenye ngozi nyeupe au anayeishi Ulaya?

Na Mwafrika ni nani? Mwenye ngozi nyeusi au anayeishi Afrika?


Again, this is a preposterous logic.
nimependa sana huu uwasilishaji wa mkuu Jasmoni Tegga

maana yeye anatwanga tu mbere kwa mbere, kama wale wahubiri wa stend.

haijalishi kuna mtu anamsikiliza au hasikilizwi na yoyote
 
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?

Mbinguni kwa walioishi maisha matakatifu. Kuzimu pa moto kwa walioishi maisha ya d

Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
Duuh n swali gumu sana,hata ukirejea kweny dini utakuta dini na zao zimebeba mawazo ya kifalsafa juu ya Jambo hii,,mfano Plato anasema mtu akifa roho yake uishi na huvaa mwili tena ,so mzee haya n Jambo ambalo n gumu kuelewa uenda likawa Lina ukwel flan au la
 
Mambo yanayotokea kwenye Kanisa la Mchungaji Mwamposa, a.k.a Bulldozer, yameniaminisha kuwa Kuna maisha baada ya Kifo.

Kwa asilimia 100
 
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
Sisi tulianzia rohon na tutaishia rohon. Kat yetu kuna sisi wapo Mashetan na Malaika. Ni kama hasi na chanya au kulia na kushoto ndivyo mfumo ulivyo. Jambo rahic ni kuwa ili ujue kuna zaid ya unachokijua ni kuwa akili yako inajua baya na jema.
 
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
Yapo,Tena ndio ya milele!.sio nadharia!
Note: ni Bora uamini yapo hata usipoyakuta hutapoteza kitu,kuliko kuamini hayapo halafu ukayakuta hutakua na option .
 
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
Swali zuri. Ndio kuna maisha baada ya kifo ambayo ni ya milele. Maisha hayo yanategemea uliishije duniani,ikiwemo utii wako kwa Mungu. Wengi wanapata ukakasi kuyaamini maisha hayo kwa sababu hayaonekani kwa macho yetu ya kibinadamu(yapo kwa jinsi ya Rohoni). Jiweke tayari maadam upo hai(Hii ndio nafasi pekee uliyo nayo)
 
Back
Top Bottom