Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

Unataka facts au blahblah blah kulingana na msimuliaji ?
 
Wakuu bishanenii, mwisho mje na majibu ya kueleweka hapa. Nataka kusoma mistari miwili na kuelewa sio maelezo mareefuu, mara kasome wakorinto
 
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
Ndiyo.
 
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
Ulishawaza inawezekanaje au ni mtumwa wa fikira na hisia za watu.
 
Jibu ni kwamba "the truth sits upon the lips of dying man" hayo mengine ni kufarijiana tu.we subili siku ufe ndio utajua.maana hakuna aliyewahi kufa na kurudi kuleta mrejesho.
 
Hahaha binafsi yangu nina amani kuna maisha baada ya kifo. Hutoishi kama mwanadamu wa nyama bali kama roho isiyo na mwili, hutoweza kula wala kunywa ila nafsi yako ama roho yako itaishi kwenye ulimwengu wa wafu.

Nina ushahidi na hilo ndg zangu. Sema tu wengi wetu huwa wakifa hawatak kurud ila baadh ya koo zetu wamekufa na wanaish na wanarud tunawaona na wanatusimulia nakutuonesha matendo makuu ya ulimwengu wa wafu. Over. Nisitoe siri za kambi.


Naamin nitakufa nitaish hata milele kwenye koo yangu. Honor your ancestors. Choose the right path to live forever after death.


Ukitaka kwenda kwa Yesu haya, ukitaka kwenda kwa majini haya, ukitaka kuwa milik ya shetan haya ukitaka kwenda kwenye koo yoyote after your death, ukitaka kuwa nafs inayotanga tanga haya, Everything is on your Hand. Tafuta maarifa ya siri ujue ulimwengu ipasavyo itakusaidia
Wewe una kitu ungetusaidia hapa. Ila shida yenu mnaongea vitu nusunusu, mnafumba fumba, na hapo ndio tunapata mashaka na kuto waamini. Wekeni mambo wazi. Fikiria uwazi wa jambo hili ulilo limega nusu na kutuambia kuhusu koo ungeliweka wazi ungeponya wangapi? Kama kweli kuna thawabu, ugehesabiwa tjawabu kiasi gani kupotia kupona kwao?

Hapo ndipo mnapotupa mashaka
 
  • Thanks
Reactions: A43
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?

Kwani wewe kabla ya kuja huku duniani ulikuwa unaishi wapi?
Ndivyo utakavyoenda kuishi ukitoka hapa duniani.
 
Wakuu mnaotaka ku prove kwa maandiko mbinu hii sio inayohitajika hapa. Ingekua ku prove kwa biblia na quraan (sijui kuoandika) inakubalika kwenye hili, basi hakuna kiumbe kingebisha. Shida ni kwamba hizo prof za kwenye vitabu ni nadharia na sio practical, watu hawataki mistari wanata practical
 
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?

Utakwenda kuishi huko huko ambako ulikuweko kabla ya kuja hapa duniani. Jaribu kujiuliza babu na babu na babu hadi babu yako wa kwanza walikuwa wanaishi wapi!
 
Kama we hutaki kuamini vitabu vya dini Basi usiwahi kusema Kwamba hamna maisha baada kifo kwa sababu unaongea kitu usichokijua,
Ukiulizwa je Kuna maisha baada kifo sema sijui ,Kama vile ulikuwa hujui Kama utawahi kuishi duniani Ila umeishi ndo umejua Kuna maisha duniani.
Wanasayansi hamuamini msichokiona Wala kukiskia Sasa mbona unaamini kuwa hamna maisha wakati hujafa subiri ufe ndo upate jibu.
Kwa sisi tunaomini dini tunasema yapo kwa sababu tunaamini tusiyo yaskia Wala kuyaona Ila kwa elimu inyotoka kwa muumba ,
Imani inaambatana na elimu ,Soma ujue Kisha amini.
Point of agreement. Uzi umeisha.
 
Wakuu mnaotaka ku prove kwa maandiko mbinu hii sio inayohitajika hapa. Ingekua ku prove kwa biblia na quraan (sijui kuoandika) inakubalika kwenye hili, basi hakuna kiumbe kingebisha. Shida ni kwamba hizo prof za kwenye vitabu ni nadharia na sio practical, watu hawataki mistari wanata practical

Scientifically (Practically) you can’t prove life after death na hii ni kwasababu Sayansi haitoi majibu ya kila kitu. Sayansi ina ukomo wake. Sasa kama mnaanzisha mijadala ambayo mnalimit watu ku-refer to the appropriate references, basi ni heri ufunge mjadala wako.

Life after death is a spritual thing (science doesn’t go into spiritual life). A good way to deal with spiritual matters ni through Holy Books ambazo wewe hutaki kusikia. Huwezi kuuliza swali la Civics halafu utegemee majibu kutoka kwenye kitabu cha Chemistry.
 
Unahoji kitoto sana mkuu. Dhamira ya Mungu haiwezi kushinda dhamira ya Mwanadamu. Hakuna anayeweza kuzuia neno la Mungu lisifike mahali popote. Soma historia uone namna gani injili imepigwa vita mahali pengi lakini bado imepenya. Tafuta kitabu kinaitwa BREAKTHROUGH (kinazungumzia safari ya kusambaza Injili)
Nakubaliana na wewe kwa kuwa dini ni biashara, so nguvu hutumika ili pesa ipigwe. Sasa mkuu, kuna wale wahindi wanaoabudu ng'ombe, vipi kule injili itafika lini?
 
Yan mungu alete Dini, watu Fulani Tu , alafu wengine wabaki kupokea mapokeo Tu,
Huyo mungu ni mchoyo Sana wa elimu, halafu ni mbaguzi
Eti, yaani uifuatilia hizi dini tunzotamba nazo ni za wazungu tu, hakuna dini imetokea kwa weusi. Hizi dini ni biashara za wazungu, kwa sasa na weusi wameshtuka wameanza piga pesa tu
 
Nakubaliana na wewe kwa kuwa dini ni biashara, so nguvu hutumika ili pesa ipigwe. Sasa mkuu, kuna wale wahindi wanaoabudu ng'ombe, vipi kule injili itafika lini?

Wapo wanaotumia Dini kama Biashara yes hatukatai na wananufaika kimaslahi. Lakini tukirudi kwenye sole purpose ya kuanzishwa kwa Dini, hilo sio lengo lake. Ni kama ambavyo silaha zimeundwa kwaajili ya protection lakini hilo halizuii wenye nia ovu kuzitumia kujipatia mali. Soma zaidi kuhusu falsafa ya Dini.

Hakuna mahali Injili haijafika. Kila mtu ataisikia, ila kuguswa ni Neema. Huko India kuna watumishi wengi tu wa Mungu wanamtumikia Bwana Yesu. Hata China wapo budhist waliobadili maisha yao na kumfuata Kristo.
 
Scientifically (Practically) you can’t prove life after death na hii ni kwasababu Sayansi haitoi majibu ya kila kitu. Sayansi ina ukomo wake. Sasa kama mnaanzisha mijadala ambayo mnalimit watu ku-refer to the appropriate references, basi ni heri ufunge mjadala wako.

Life after death is a spritual thing (science doesn’t go into spiritual life). A good way to deal with spiritual matters ni through Holy Books ambazo wewe hutaki kusikia. Huwezi kuuliza swali la Civics halafu utegemee majibu kutoka kwenye kitabu cha Chemistry.
Kama ni hivyo mkuu kwamba hakuna ushahidi wa kuthibisha pasi na shaka isipokua kwa kutumia vitabu (theoretically) tu, basi niungane na mjumbe aliyesema jibu la swahili hili kama huamini basi liwe 'sijui' kama ilivyokua sijui kama kuna maisha kabla nizaliwe basi sijui pia kama kuna maisha baada nife. Ila kwenu mnao amoni mnayo majibu mkuu
 
Wapo wanaotumia Dini kama Biashara yes hatukatai na wananufaika kimaslahi. Lakini tukirudi kwenye sole purpose ya kuanzishwa kwa Dini, hilo sio lengo lake. Ni kama ambavyo silaha zimeundwa kwaajili ya protection lakini hilo halizuii wenye nia ovu kuzitumia kujipatia mali. Soma zaidi kuhusu falsafa ya Dini.

Hakuna mahali Injili haijafika. Kila mtu ataisikia, ila kuguswa ni Neema. Huko India kuna watumishi wengi tu wa Mungu wanamtumikia Bwana Yesu. Hata China wapo budhist waliobadili maisha yao na kumfuata Kristo.
Ooh hallelujah
 
Back
Top Bottom