Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
Kwenye hizo ahadi za kwenye vitabu vya dini ,hazifariji chochote zaidi ya kukufanya uishi kwa mashaka, na kulia pilipili gizani unawashwa lakini hausemi.

Kuna fala moja lokole liliruka fensi kidogo lipasuke kichwa kisa alifumwa anakunywa bia.
 
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
yah!!!,,,,angalia unavolala[zoezi la kufa},,,,kama ni msaarab,unaoga,unasali,unaingia kitandani,unajifunika shuka{kama sanda] alaf unapoteza fahamu!!!!!!!!!!!!!!!!,,,,,,,,,,,,,,,,,,then unaota mambo yalokutokea mchana,mambo ya kale,,,,na kamauna kaunabii flan,unaota mambo yajayo,,then asubui au wakati flan unaamka,,,unaona,,,,,,,,,,,,!!!!!!!!!!!!!!!!!!maajabu hayo?????so jitahidi kuwa msafi kadri uwezavyo!!!
 
yah!!!,,,,angalia unavolala[zoezi la kufa},,,,kama ni msaarab,unaoga,unasali,unaingia kitandani,unajifunika shuka{kama sanda] alaf unapoteza fahamu!!!!!!!!!!!!!!!!,,,,,,,,,,,,,,,,,,then unaota mambo yalokutokea mchana,mambo ya kale,,,,na kamauna kaunabii flan,unaota mambo yajayo,,then asubui au wakati flan unaamka,,,unaona,,,,,,,,,,,,!!!!!!!!!!!!!!!!!!maajabu hayo?????so jitahidi kuwa msafi kadri uwezavyo!!!
Umewahi kuzimia? Uliota?

Tuachane na hilo, unapofananisha kufa na kulala, ukilala unaoza?

NATOKA KIDOGO🏃
 
yah!!!,,,,angalia unavolala[zoezi la kufa},,,,kama ni msaarab,unaoga,unasali,unaingia kitandani,unajifunika shuka{kama sanda] alaf unapoteza fahamu!!!!!!!!!!!!!!!!,,,,,,,,,,,,,,,,,,then unaota mambo yalokutokea mchana,mambo ya kale,,,,na kamauna kaunabii flan,unaota mambo yajayo,,then asubui au wakati flan unaamka,,,unaona,,,,,,,,,,,,!!!!!!!!!!!!!!!!!!maajabu hayo?????so jitahidi kuwa msafi kadri uwezavyo!!!
mzee ulifariki mwaka gani?
 
Back
Top Bottom