Nadhani waliomuumba Mungu,ni watu walokuwa na malengo yao binafsi na kwa kuwa ingekuwa ngumu kutapeli hivi hivi,wakabuni mbinu za kuwachinjia baharini. Enzi hizo hata hela hakuna, ardhi na mali nyingine waliaminishwa,wakagawa. Makosa walifanya mababu,ila na uzao wao,ndo ukawa hivyo. Siku hizi kuna pesa sasa ndo usiseme.Kabisa mkuu.
Ukijiuliza maswali haya utafahamu kwamba Mungu anayedaiwa kwamba ni Mungu muweza wa vyote, mkamilifu na mwema hayupo.
Human beings created God through assumptions, Based on things beyond their imaginations.
Na wao wamekazana,eti Mungu.