Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
Mbinguni kwa walioishi maisha matakatifu. Kuzimu pa moto kwa walioishi maisha ya dhambi.
 
Mbinguni kwa walioishi maisha matakatifu. Kuzimu pa moto kwa walioishi maisha ya dhambi.
Imani kitu Cha ajabu sana watu mnaamini Kuna watakao kwenda kuchomwa moto mkali milele,wengine mnaamini Kuna watakao imba na malaika milele,wengine mnaamini Kuna mabikra wanawasubiria huko akhera kwenye mabwawa ya tungi ni kula starehe milele!!
Mi sielewi
 
Kwanzia kwenye sparm na yai wewe ni matokeo ya nishati kutokea kwenye mimea na wanyama na udongo , pia ukifa unakua nishati ya mimea wanyama na udongo tena , process hii ni endelevu , wewe ni dunia na dunai ilivyo ni wewe .
Kuna kitabu nilisoma kinaitwa how universe works Kuna sehemu wanasema we are all made up by star dust after the big bang!! Yaani hata atoms za mwili wako zimeundwa na vumbi la nyota na ndio maana labda wanasema kwenye biblia tumeundwa na udongo mi sijui!
 
Kuna kitabu nilisoma kinaitwa how universe works Kuna sehemu wanasema we are all made up by star dust after the big bang!! Yaani hata atoms za mwili wako zimeundwa na vumbi la nyota na ndio maana labda wanasema kwenye biblia tumeundwa na udongo mi sijui!
How the universe works , uliendelea kukisoma mkuu au uliishia apo tu ?
 
Kwanzia kwenye sparm na yai wewe ni matokeo ya nishati kutokea kwenye mimea na wanyama na udongo , pia ukifa unakua nishati ya mimea wanyama na udongo tena , process hii ni endelevu , wewe ni dunia na dunai ilivyo ni wewe .
Kwahiyo kuanzia leo ikikupendeza tukubaliane mimi na wewe tu kwamba kifo ndio funga kazi
 
Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.

Nataka tuongee kiume sasa.

Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
Mtu akifa haendi kokote hubaki palepale alipofia mpaka waje wale waliyo hai ndiyo watajua wakupeleke wapi.
 
Kwenye hizo ahadi za kwenye vitabu vya dini ,hazifariji chochote zaidi ya kukufanya uishi kwa mashaka, na kulia pilipili gizani unawashwa lakini hausemi.

Kuna fala moja lokole liliruka fensi kidogo lipasuke kichwa kisa alifumwa anakunywa bia.
Na kamfuma huyo bwege? Pesa yako unafumwa?
 
Back
Top Bottom