Je, Jeshi la Polisi Tanzania linaruhusiwa kumchunguza Waziri au Naibu Waziri akitenda jinai? Au hadi wapewe ruhusa yakufanya hivyo?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,123
Mfumo wetu wa siasa unakataza indirectly Kiongoz wa kisiasa au chama tawala kuhojiwa anapotenda jinai . Vinginevyo lazima wapokee maelekezo kutoka kwa viongozi wa kisiasa wasipofanya hivyo .

Incase akajitokeza askari akataka kumhoji mwanasiasa basi mfumo unaweza kuelekeza ahojiwe yeye au afukuzwe kazi

Hali ni tofauti na mazingira ya nchi nyingi zinazoendelea au zilizoendelea. Je, idhini ya kuchunguza wanasiasa wa chama tawala isipotolewa mwananchi anaweza kufungua kesi ya jinai mwenyewe mahakamani?
 
Mfumo wetu wa siasa unakataza indirectly Kiongoz wa kisiasa au chama tawala kuhojiwa anapotenda jinai . Vinginevyo lazima wapokee maelekezo kutoka kwa viongozi wa kisiasa wasipofanya hivyo .

Incase akajitokeza askari akataka kumhoji mwanasiasa basi mfumo unaweza kuelekeza ahojiwe yeye au afukuzwe kazi

Hali ni tofauti na mazingira ya nchi nyingi zinazoendelea au zilizoendelea. Je, idhini ya kuchunguza wanasiasa wa chama tawala isipotolewa mwananchi anaweza kufungua kesi ya jinai mwenyewe mahakamani?
Kuna polisi ambao wana independent mind,hawaogopi kutenda haki,ilimradi hawavunji sheria,na wako tayari hata kufukuzwa kazi,Kama tu kutekeleza majukumu yao,waliyoapa kuyatekeleza kwa mujibu wa katiba,itaonekana ni jinai kwa mitizamo ya kisiasa.Aliyekua naibu waziri na wenzake,watahojiwa na ikibidi watafikishwa mahakamani.Subiri.
 
Kuna polisi ambao wana independent mind,hawaogopi kutenda haki,ilimradi hawavunji sheria,na wako tayari hata kufukuzwa kazi,Kama tu kutekeleza majukumu yao,waliyoapa kuyatekeleza kwa mujibu wa katiba,itaonekana ni jinai kwa mitizamo ya kisiasa.Aliyekua naibu waziri na wenzake,watahojiwa na ikibidi watafikishwa mahakamani.Subiri.
wamefanya Nini
 
Kuna polisi ambao wana independent mind,hawaogopi kutenda haki,ilimradi hawavunji sheria,na wako tayari hata kufukuzwa kazi,Kama tu kutekeleza majukumu yao,waliyoapa kuyatekeleza kwa mujibu wa katiba,itaonekana ni jinai kwa mitizamo ya kisiasa.Aliyekua naibu waziri na wenzake,watahojiwa na ikibidi watafikishwa mahakamani.Subiri.
Kwa Tanzania hii hakuna. Hajawahi kuwepo. Na, hatakuwepo.
 
Na ubunge huyu asirudi tena
Wamtoe nje ya mstari kabisa
Awe benchi

Ova
Sasa ataitwa rasmi mama chupa
Bar ya mpiga chupa
Oohs usiende pale kwenye ile bar utaingiziwa chupa nyuma

Ameharibu biashara yake
Ameharibu ubunge wake
Ameharibu uwazir wake
Ameharibu taswira yake kwenye jamii

Mambo ya kutumia his badala ya akili
Pole sana mama chupa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu aliniambia usilogwe kufanya maamuzi km unahasira tena kua makini sana unaweza ukafanya maamuzi yakaharibu maisha yako kwa dakika tu.Kweli huu ushauri nimeona faida zake sana.Sasa huyu dada km kweli alifanya hayo naona hakujipa mda hasira ikampeleka kufanya unyama ambao utamsumbua na hata heshima alio kua nao itashuka n a maisha yake hayatakaa sawa tena kwa tendo alilofanya kwa siku ama saa moja tu.Pia wapambe wanaokua na ww kwenye upuuzi wakiona kimewaka wanakukimbia pole yake sana dada hasira ni hasara.
 
Kuna mtu aliniambia usilogwe kufanya maamuzi km unahasira tena kua makini sana unaweza ukafanya maamuzi yakaharibu maisha yako kwa dakika tu.Kweli huu ushauri nimeona faida zake sana.Sasa huyu dada km kweli alifanya hayo naona hakujipa mda hasira ikampeleka kufanya unyama ambao utamsumbua na hata heshima alio kua nao itashuka n a maisha yake hayatakaa sawa tena kwa tendo alilofanya kwa siku ama saa moja tu.Pia wapambe wanaokua na ww kwenye upuuzi wakiona kimewaka wanakukimbia pole yake sana dada hasira ni hasara.
Huyo ni kichaa, hasira gani hizo?
 
Kuna polisi ambao wana independent mind,hawaogopi kutenda haki,ilimradi hawavunji sheria,na wako tayari hata kufukuzwa kazi,Kama tu kutekeleza majukumu yao,waliyoapa kuyatekeleza kwa mujibu wa katiba,itaonekana ni jinai kwa mitizamo ya kisiasa.Aliyekua naibu waziri na wenzake,watahojiwa na ikibidi watafikishwa mahakamani.Subiri.
Acha uongo, hakuna polisi wa hivyo tanzania, Gekul atachukuliwa hatua kwa sababu moja tu hili suala limefika kwa rais.
 
Kuna polisi ambao wana independent mind,hawaogopi kutenda haki,ilimradi hawavunji sheria,na wako tayari hata kufukuzwa kazi,Kama tu kutekeleza majukumu yao,waliyoapa kuyatekeleza kwa mujibu wa katiba,itaonekana ni jinai kwa mitizamo ya kisiasa.Aliyekua naibu waziri na wenzake,watahojiwa na ikibidi watafikishwa mahakamani.Subiri.
Nakubaliana na mawazo yako. Polisi tena na Cheo kikubwa kama RPC Katabazi anakubali kumweka ndani kijana Kwa kosa la kuiba fundo la mchanga kiganja kimoja ili lipelekwe kwa Mganga wa kienyeji? Yeye ndo ameshiriki kumwambia Gekul abadilishe maelezo aseme kijana alitaka kuweka sumu kwenye chakula wakati Hilo halikuwepo Tangu mwanzo limeanza walivyofikishwa Polisi. RPC ameshiriki kumbambikia kesi kijana asiye na hatia kijinai. Huu upuuzi wa Polisi kutumika kama dekio la wanasiasa wachafu ifike mahali wawajibishwe wenyewe pia. Rais Samia tutashangaa kama RPC Manyara atabaki wakati mshirika wake umemtengua. Maelezo ya RPC kumtetea Naibu Waziri kabla hujamtengua yanaonyesha na yeye alishiriki kuendeleza ukatili Kwa Mtu ambaye tayari alishafanyiwa ukatili.
 
Shida polisi wetu ni robot tu. Wanasetiwa Nini Cha kufanya. Katibu wa mbunge anadai yule kijana alienda kuchukua mchanga wa pale hotelini. RPC anadai yule kijana alitaka kumuwekea sumu Mbunge kwenye chakula. Nani anasema ukweli?. Utagundua RPC kanunuliwa na kuambiwa Cha kusema.
 
Nakubaliana na mawazo yako. Polisi tena na Cheo kikubwa kama RPC Katabazi anakubali kumweka ndani kijana Kwa kosa la kuiba fundo la mchanga kiganja kimoja ili lipelekwe kwa Mganga wa kienyeji? Yeye ndo ameshiriki kumwambia Gekul abadilishe maelezo aseme kijana alitaka kuweka sumu kwenye chakula wakati Hilo halikuwepo Tangu mwanzo limeanza walivyofikishwa Polisi. RPC ameshiriki kumbambikia kesi kijana asiye na hatia kijinai. Huu upuuzi wa Polisi kutumika kama dekio la wanasiasa wachafu ifike mahali wawajibishwe wenyewe pia. Rais Samia tutashangaa kama RPC Manyara atabaki wakati mshirika wake umemtengua. Maelezo ya RPC kumtetea Naibu Waziri kabla hujamtengua yanaonyesha na yeye alishiriki kuendeleza ukatili Kwa Mtu ambaye tayari alishafanyiwa ukatili.
Mkuu usijali, haki ya kijana itasimama tu,japokua tunajua hakuna wavurugaji wazuri wa kesi kama police!!
 
Nakubaliana na mawazo yako. Polisi tena na Cheo kikubwa kama RPC Katabazi anakubali kumweka ndani kijana Kwa kosa la kuiba fundo la mchanga kiganja kimoja ili lipelekwe kwa Mganga wa kienyeji? Yeye ndo ameshiriki kumwambia Gekul abadilishe maelezo aseme kijana alitaka kuweka sumu kwenye chakula wakati Hilo halikuwepo Tangu mwanzo limeanza walivyofikishwa Polisi. RPC ameshiriki kumbambikia kesi kijana asiye na hatia kijinai. Huu upuuzi wa Polisi kutumika kama dekio la wanasiasa wachafu ifike mahali wawajibishwe wenyewe pia. Rais Samia tutashangaa kama RPC Manyara atabaki wakati mshirika wake umemtengua. Maelezo ya RPC kumtetea Naibu Waziri kabla hujamtengua yanaonyesha na yeye alishiriki kuendeleza ukatili Kwa Mtu ambaye tayari alishafanyiwa ukatili.
Hii nchi inahitaji total reforms kila eneo, la sivyo tutaishia kuwa taifa la hovyo.
 
Nakubaliana na mawazo yako. Polisi tena na Cheo kikubwa kama RPC Katabazi anakubali kumweka ndani kijana Kwa kosa la kuiba fundo la mchanga kiganja kimoja ili lipelekwe kwa Mganga wa kienyeji? Yeye ndo ameshiriki kumwambia Gekul abadilishe maelezo aseme kijana alitaka kuweka sumu kwenye chakula wakati Hilo halikuwepo Tangu mwanzo limeanza walivyofikishwa Polisi. RPC ameshiriki kumbambikia kesi kijana asiye na hatia kijinai. Huu upuuzi wa Polisi kutumika kama dekio la wanasiasa wachafu ifike mahali wawajibishwe wenyewe pia. Rais Samia tutashangaa kama RPC Manyara atabaki wakati mshirika wake umemtengua. Maelezo ya RPC kumtetea Naibu Waziri kabla hujamtengua yanaonyesha na yeye alishiriki kuendeleza ukatili Kwa Mtu ambaye tayari alishafanyiwa ukatili.
Kama RPC amejaribu kwa hali yoyote kupindisha ukweli,inabidi awajibishwe pia,Rais ana vyanzo vingi vya taarifa,bilashaka yoyote ile,atapata au anao ukweli halisi.
 
Mfumo wetu wa siasa unakataza indirectly Kiongoz wa kisiasa au chama tawala kuhojiwa anapotenda jinai . Vinginevyo lazima wapokee maelekezo kutoka kwa viongozi wa kisiasa wasipofanya hivyo .

Incase akajitokeza askari akataka kumhoji mwanasiasa basi mfumo unaweza kuelekeza ahojiwe yeye au afukuzwe kazi

Hali ni tofauti na mazingira ya nchi nyingi zinazoendelea au zilizoendelea. Je, idhini ya kuchunguza wanasiasa wa chama tawala isipotolewa mwananchi anaweza kufungua kesi ya jinai mwenyewe mahakamani?
Jeshi letu la polisi ni kikundi cha watu wanaosubiri amri na maagizo hawana utashi wa kuguata Katiba na shsria...

Kiufupi ni machawa in uniforms
 
Back
Top Bottom