Je, hili limewahi kukutokea?

Je, hili limewahi kukutokea?

Kwa jinsi ninavyo pendwa na wanawake live wameni keep busy hadi nisiwe na tamaa ya kutoka na manzi yoyote humu.

Kifupi tu acount yangu ya jf haija wahi shobokea acount ya demu yoyote humu jf wala kuonyesha interest na mwanamke yoyote humu kwa sababu i see less
Aiseee hii kali
 
Umewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.

Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.

Je, wewe iliwahi kukutokea hali hii?
Nitarudi kusimulia yote.
 
Evelyn Salt ni mkongwe mwenzangu, mamaa ya Kimara zama zile.
Yaani najikuta nampenda tu, sio avatar wala USER ID ya, ila yeye binafsi.

Ni kama tu nimpendavyo mmakonde wa Uingereza Kasie, fyalafyala. Tena Kasie nina wine yako na prawns kikundi, eat as much as you can

Ubarikiwe kwa kunitunuku....

Naisubiria kwa hamu kolabo ya wine na prawns 😋😋😋.
 
Nimezimiss zile nywele za mtoto wa Kidinka. Pleeeease naomba nikuone usiku huu huu njozini. Tayari Mr. DREAM MAKER kaanza maandalizi
 
Back
Top Bottom