Je, hili limewahi kukutokea?

Je, hili limewahi kukutokea?

Umewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.

Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.

Je, wewe iliwahi kukutokea hali hii?
Unaanzaje kumpenda mtu ambaye hujawahi kumuona na hata picha yake huijui mtu mwenye jina fake , basi itakua ni uchizi aisee
 
Umewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.

Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.

Je, wewe iliwahi kukutokea hali hii?
Kuna demu namtaka japo simjui namsoma tu ila namtaka tu this Nakkadori sijui hata Kwa nini hata just tu
 
Hivi jf kila kitu fake picha za profile fake unaanzaje kumpenda mtu.

Mimi labda huku mitaani kwenye maisha ya kawaida tunayoishi ishawahi nitokea ila huku mitandaoni nooooooooo!
 
Hivi jf kila kitu fake picha za profile fake unaanzaje kumpenda mtu.

Mimi labda huku mitaani kwenye maisha ya kawaida tunayoishi ishawahi nitokea ila huku mitandaoni nooooooooo!
Wewe itakuwa kuna namna umefunga vioo, lakini sidhani kwamba watu wanapenda kama kupenda, wanavutiwa na michango, mwandiko, wanazama pm, wanachat, wanazoeana, wanabadilishana contacts, wanapanga kukutana....baada ya kukutana ndio hapo kuna mawili, walisongeshe au yaishie hapo hapo.

Nadhani umepata muongozo mkuu, sasa kama wewe sio muumini wa kukutana na wanajf, huwezi kuelewa.
 
Wewe itakuwa kuna namna umefunga vioo, lakini sidhani kwamba watu wanapenda kama kupenda, wanavutiwa na michango, mwandiko, wanazama pm, wanachat, wanazoeana, wanabadilishana contacts, wanapanga kukutana....baada ya kukutana ndio hapo kuna mawili, walisongeshe au yaishie hapo hapo.

Nadhani umepata muongozo mkuu, sasa kama wewe sio muumini wa kukutana na wanajf, huwezi kuelewa.
Embu rudia tena watu wanavutiwa na nini? Ati michango ya humu? mwandiko? Embu samehe.mbavu zangu naend zangu saloon jioni ntaonda hotel ya maana nikavutiwe na watu ninaowaona live kuliko huku jf nyuma ya pazia.

Dah ila nimecheka ati mtu anavutiwa na mwandiko aisee🤣🤣🤣🤣
 
Embu rudia tena watu wanavutiwa na nini? Ati michango ya humu? mwandiko? Embu samehe.mbavu zangu naend zangu saloon jioni ntaonda hotel ya maana nikavutiwe na watu ninaowaona live kuliko huku jf nyuma ya pazia.

Dah ila nimecheka ati mtu anavutiwa na mwandiko aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hujawaisikia au kuona mtu anavutiwa na miguu yako humu?
 
Embu rudia tena watu wanavutiwa na nini? Ati michango ya humu? mwandiko? Embu samehe.mbavu zangu naend zangu saloon jioni ntaonda hotel ya maana nikavutiwe na watu ninaowaona live kuliko huku jf nyuma ya pazia.

Dah ila nimecheka ati mtu anavutiwa na mwandiko aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio maana nikasema wewe kuna namna umepandisha vioo, kwani unadhani kuwa attracted na mtu kunaanzia wapi?

Vitu vidogo kama michango ya watu, good sense of humour nk ndio vinafanya baadhi ya watu wakubalike zaidi ya wengine.

Sasa katika hayo ndio watu wanaangukia huko kwenye chitchat hadi wanakutana.

Probably huamini katika online dating, so ni ngumu kuelewa.
 
Umewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.

Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.

Je, wewe iliwahi kukutokea hali hii?
Ketamine uliwahi kunipm sijui ulikuwa na shida gani Masikini!😅😅😕
 
🤪🤪 Kwenye jina lake kuna alphabet ya 5 eeeh
Ungeacha akuelewe sana yeye, hao watu tukianza kuwaelewa sie wanaanza na mashauzi.


🤣🤣🙌
Yupo mmoja anajishaua sana kisa tu aliona ninaonesha kumjali......najua utasoma hapa ila don't take it serious coz u r a good boyy...
Dear brother tambua tu mwenzio siko serious kiviile so na mm nimekupotezea...
 
Bora hata wewe ndugu yangu [mention]Unique Flower [/mention]
Yaliyo na yanipatayo kwa [mention]Kelsea [/mention] ni machungu ndugu yangu
Heli hata wewe mlipendana na kupendana
 
[mention]Kelsea [/mention] nshaoata stata sasa skilizia[emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom