Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,021
- 177,332
Weee tudokeze ilikuaje dear... tunasogeza masaa tu hapa nothing serious banaaaa😆Hahhahaaa imekwisha 😂😂
humu sio pa kumuamini mtu
tuchat na yaiishe jukwaani.
Weee tudokeze ilikuaje dear... tunasogeza masaa tu hapa nothing serious banaaaa😆Hahhahaaa imekwisha 😂😂
humu sio pa kumuamini mtu
tuchat na yaiishe jukwaani.
Kwasanaaa tyuuuuu in Cocas voice 🤣🤣Ni kusambaza na kugawana au sioo 🤣🤣🤣🤸
Sina hamu na jf
kwa sasa sitaki habari hizo humu .
nilimpenda mtu , na nimeishia kucheka
️
️
️
️
️
️
️
️
Unamfahamu Skylar ?Em ngoja tuone comments...
Binti mrembo na mtulivu..hahaha Tinsley imekuwaje tenaHahhahaaa imekwisha
humu sio pa kumuamini mtu
tuchat na yaiishe jukwaani.
unlucky me 😂😂Hadi wewe jamani mpole hivyoo
expectations always hurt MkuuBinti mrembo na mtulivu..hahaha Tinsley imekuwaje tena
Hii iliniingia nikaielewa Kweli Kweli rafiki big up 👍👍👍Eeeh don't kiss and tell, kikao chetu kiliazimia hivyo.
nilimpenda nyanganya .🤣🤣😂 ukampenda aje
😂😂 tuelezeee in brieflyunlucky me 😂😂
jf sio mchezo
Mabaharia siyo watu mkuu. Imagine wanamuumiza binti mrembo na mtulivu kama huyu. Adhabu yao wataikuta motoni wallahi!Binti mrembo na mtulivu..hahaha Tinsley imekuwaje tena
Mim kumpenda mtu sijui anafanana vip aiseh siwez aisehUmewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.
Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.
Je, wewe iliwahi kukutokea hali hii?
what went wrong dear!! Alikua amewowa ama??🤣🤣🤣 in Depas voice 🤣🤣🤣unlucky me 😂😂
jf sio mchezo
Afu akadisapia 🥲nilimpenda nyanganya .
sirudii tena
Haha nitalia nikihadithiaWeee tudokeze ilikuaje dear... tunasogeza masaa tu hapa nothing serious banaaaa😆
Aisee. Hizi fursa mbona wengine hazitudondokei? ........ Yaani akikukoti (quote) unazimia sekunde 3. Kweli wakati mwingine mapenzi ni kama wazimu!Nilimpendaga kijana anashindaga kuleee JF garage 😂😂😂
Weeuhh alikuwa akinilike nasikia raha… alinikwoti nazimiaa sekunde 3.
Way back.. sahii feeelings zilikwenda na maji ya mvua ya msimu uliopita.
Ila kijana hajui
nilikuwa nampenda mtu asiyenipenda Wala niniwhat sent wrong dear!! Alikua amewowa ama??🤣🤣🤣 in Depas voice 🤣🤣🤣
Just samaree tu kipenzi!! Jamani itakua alikuumiza sana dear!!Haha nitalia nikihadithia
ni uchungu 😂😂