Je, hili limewahi kukutokea?

Je, hili limewahi kukutokea?

Umewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.

Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.

Je, wewe iliwahi kukutokea hali hii?
Mim kumpenda mtu sijui anafanana vip aiseh siwez aiseh
 
Nilimpendaga kijana anashindaga kuleee JF garage 😂😂😂
Weeuhh alikuwa akinilike nasikia raha… alinikwoti nazimiaa sekunde 3.

Way back.. sahii feeelings zilikwenda na maji ya mvua ya msimu uliopita.

Ila kijana hajui
Aisee. Hizi fursa mbona wengine hazitudondokei? ........ Yaani akikukoti (quote) unazimia sekunde 3. Kweli wakati mwingine mapenzi ni kama wazimu!
 
Back
Top Bottom