Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Ukimsogelea unahisi unataka kwenda jehanamuMr nani ? Tatizo ni hili jina mkuu tunakuogopa😂
Ukimsogelea unahisi unataka kwenda jehanamuMr nani ? Tatizo ni hili jina mkuu tunakuogopa😂
Daah! Kama ni zee la upinde, mimibasi kwakwel.. ntachekiana nae nione
😂😂 ukikumbuka madhambi yako then ukamuona,aki unatoka speed kaliUkimsogelea unahisi unataka kwenda jehanamu
Anajuaaa?Niliwahi na bado nampenda
Wala hajaliAnajuaaa?
Msemee kwetu tusaidie kumpa somo 😁Wala hajali
Sasa kama ni wewe 🏃Msemee kwetu tusaidie kumpa somo 😁
Hisia zinaniambia siwezi kuwa mimiSasa kama ni wewe 🏃
Kataa tu miss ChugaHisia zinaniambia siwezi kuwa mimi
Majukumu yanakaba ile mbaya, juma lililopita nilikuwa Tabora kiasaliUmenitupa na mti wake.....
🦯
🦯
🦯.
Majukumu yanakaba ile mbaya, juma lililopita nilikuwa Tabora kiasali
Sent using Jamii Forums mobile app
Si lilikuwa sharti la kuwa nyumba ndogo??Kumbukumbu huku tulipendwa sana ila masharti nilishindwa ila kweli nilimpenda alinipenda kweli