Je, hili limewahi kukutokea?

Je, hili limewahi kukutokea?

Kwamba hamkupeana utamu jamani
emoji848.png

Kwamba hamkupeana utamu jamani
Imagine! Hatukupeana ule wa kugusana, maana hatukuonana ana kwa ana. Tuliishia kushare picha na sauti tu.

Ila utamu halisi nadhani ni furaha ya moyo ( the butterflies )- hizo zilikuwepo sana, hata yeye mwenyewe alikiri mara kwa mara kwamba mzuka umepanda.
 
Hapana
Naendelea kusoma comments
 
Imagine! Hatukupeana ule wa kugusana, maana hatukuonana ana kwa ana. Tuliishia kushare picha na sauti tu.

Ila utamu halisi nadhani ni furaha ya moyo ( the butterflies )- hizo zilikuwepo sana, hata yeye mwenyewe alikiri mara kwa mara kwamba mzuka umepanda.
Ooh
 
Hongera walau ulipiga hatua moja mbele.

Mie mdau wangu niliyemuongelea akili yake ina uwezo mkubwa wa kupambanua mambo haraka mno, imebidi niandike kwa tahadhari kubwa na nitumie ID mbadala. Hapa nikithubutu kutaja tukio moja tu, lazima agundue namuongelea yeye. Sijui ingekuwaje kama tungepata fursa ku-consume lile penzi!

J jamani, so romantic, so briliant. Mwanadamu anayejitambua nafsi yake. Hatimaye imebaki stori.
Kwanini ibaki story wewe na J jamani?
J atakuwa ni mjanja sana😃
 
Umewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.

Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.

Je, wewe iliwahi kukutokea hali hii?
Hivi humu jf mimi tu ndio sina bahati au vp? Watu wanapendana , wanaachana hebu na mimi nipate mmoja basi tena nitampenda mpaka mwisho wa dunia.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom