Kwa majibu yako wewe hama nyumbani tena umechelewa.Wapi nilipokwambia upingane na mzazi wangu
Kwa majibu yako wewe hama nyumbani tena umechelewa.
Mimi ni dereva wa Townance nitakufanyia bure sema ulipo tukapakie kitanda chako.
Sawa sawa mzee mama....nakupata vizuri ujue.Nimejaribu kujenga hoja kama haijakushawishi au hujaona cha kushauri si lazima ucomment kwenye kila post mkuu
Nimepitia maelezo yako inaonyesha kabisa uko seriously na Jambo la kuhama home but wazazi wako wanakujua in and out kuhusu wewe ndio maana wanakupinga kuhama home. Ila take precautions ukofanikiwa kuhama make sure uwe na msimamo kweli maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Utageuzwa choo cha stand. Alafu utaishia kuwa single mother. Ndipo hapo utakuja kukumbuka maneno ya wazazi wako.
Huamuzi tayari unaomwenyewe Kila laheri
Mabaharia watajipigia kwa zamuNimepitia maelezo yako inaonyesha kabisa uko seriously na Jambo la kuhama home but wazazi wako wanakujua in and out kuhusu wewe ndio maana wanakupinga kuhama home. Ila take precautions ukofanikiwa kuhama make sure uwe na msimamo kweli maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Utageuzwa choo cha stand. Alafu utaishia kuwa single mother. Ndipo hapo utakuja kukumbuka maneno ya wazazi wako.
Huamuzi tayari unaomwenyewe Kila laheri


Mkate hujawahi kuwa mgumu mbele ya supu aiseeHahhhahhhahhaa..Kwa majibu yako wewe hama nyumbani tena umechelewa.
Mimi ni dereva wa Townance nitakufanyia bure sema ulipo tukapakie kitanda chako.







Kupanga ni kuchagua. Mara nyingi wanawake wanao panga nyumba ni either wafanyakazi wa serikali au wasimbe. Amini single mother. Sasa basi ikiwa ww ni binti haujawahi kuolewa au kuzaa unaanzaje kuwaza kupanga geto lako?? Kuna kitu nyuma ya pazia unatuficha.
Hapana sina sababu nyingine zaidi ya kutaka kuwa na maisha yangu ya kujitegemea tu mkuu
Kama ulishakuwa na misimamo yako ktk hili hukuwa na sababu ya kuja kuomba ushauri humu.Namheshimu sanasana tu ila kwenye hili hapana
Umri wako je??Nafanya kazi ila hawanielewi kwa kigezo cha kwamba me ni Ke natokaje nyumbani sijaolewa nakimbilia maisha
Ni sahihi kuanza kuishi peke yako ila msikilize mzazi