Je, hii ni sawa?

Je, hii ni sawa?

Wewe mwanamke unakimbilia wapi??? kama asset za ndani utazikuta kwa mumeo... Hapo ni kutengeneza mazingira ya Kutombekaa ovyooo tuu bila mpangoo... Kitulizee nyumbani kwenuu

Asante kwa kuchangia ingawa sababu zako hazijaniconvice
 
Una kazi?

Kama unakazi inayojitosheleza sawa Ni haki yako km sio under 18.

Waambie maisha yamebadilika watoto wanapata kazi mikoani sasa wasiende kufanya kazi sababu wataonekana wahuni???

Mi mdogo wangu alipata kazi akiwa na 23 years mbali kabisa na home na mshahara mnono au bado unanyonya
 
Una kazi?

Kama unakazi inayojitosheleza sawa Ni haki yako km sio under 18.

Waambie maisha yamebadilika watoto wanapata kazi mikoani sasa wasiende kufanya kazi sababu wataonekana wahuni???

Mi mdogo wangu alipata kazi akiwa na 23 years mbali kabisa na home na mshahara mnono au bado unanyonya

Hapo sasa asante kwakunielewa
 
Hiyo ndo sababu wazazi wako wanaogopa maana Ukiwa huko mbali na hujaolewa kesho utarudi na mtoto hapo iwe mtihani tena

Sasa nikimpata ntamrudi vipi nyumbani sindontaolewa huko nilipoipata mkuu
 
Sasa nikimpata ntamrudi vipi nyumbani sindontaolewa huko nilipoipata mkuu
So wewe unataka ukiondoka kwenu kwa style ya kwenda kupanga ndo iwe Jumlaa?? Daah acha kumpa majaribu mama ako msada ebu kitulize kwenu subiri mpaka utakapotwaliwa na mumeoo kwa heshima zotee... Labda kama una mimba unataka uifiche io aibuu...
 
So wewe unataka ukiondoka kwenu kwa style ya kwenda kupanga ndo iwe Jumlaa?? Daah acha kumpa majaribu mama ako msada ebu kitulize kwenu subiri mpaka utakapotwaliwa na mumeoo kwa heshima zotee... Labda kama una mimba unataka uifiche io aibuu...

Hapana mkuu umewaza deep ila sina mimba na sio sababu ya me kutaka kutoka nyumbani ila nimekwelewa concept yako haina tofauti na hawa wakwetu ingawa sio kweli
 
Wakuu nisaidieni kunishauri nahitaji kujitegemea kutoka nyumbani na kwenda kupanga ila tangu niwashirikishe nyumbani kuhusu mpango wangu kila mtu amelichukulia kwa mtazamo negative kwamba ni mapema kwenda kupanga kwa mtoto wa kike,natakiwa niondoke mpaka niolewe,najiona nimekua,nimepata bwana/danga ndoananichanganya,nitakua siheshimiki katika jamii......

Je kama Ke siruhusiwi kuendesha maisha yangu kwakua sijaolewa bado???hii ni sawa kweli???
Kama unajiamini unaweza kujichunga huna haja ya kuwasikiliza.
 
Acha kuleta ubishi kwa wazazi wako,kama una hamu na mgegedo gegedwa ukiwa hapo kwenu,ila CV yako kama binti inakuwa imexhuka
 
Kwani nyumbani kuna geti?!
Maana kama unarudi usiku kutoka kwa danga na kuna geti unawasumbua kufungua hapo ni kero hata kwako binafsi (unaweza kuhama kwa tricky sana), lakini kama hakuna geti usihame we endelea na life hapo hapo kwa wazee.
(Ukitaka kupanga nistue kuna nyumba mbili nazipangisha kule temeke)
Wakuu nisaidieni kunishauri nahitaji kujitegemea kutoka nyumbani na kwenda kupanga ila tangu niwashirikishe nyumbani kuhusu mpango wangu kila mtu amelichukulia kwa mtazamo negative kwamba ni mapema kwenda kupanga kwa mtoto wa kike,natakiwa niondoke mpaka niolewe,najiona nimekua,nimepata bwana/danga ndoananichanganya,nitakua siheshimiki katika jamii......

Je kama Ke siruhusiwi kuendesha maisha yangu kwakua sijaolewa bado???hii ni sawa kweli???
 
Nilivyomuona mimi hakuja kutaka ushaur bali amekuja kutaka kuungwa mkono na maamuzi yake mm nasema kila la her mwanakulitaka mwanakulipata
Mwana kulipata kwelii...Baharia akipata toto limepanga nyumba si ndo kwenda kujiliaa buree tu nyampuu
 
Kwani nyumbani kuna geti?!
Maana kama unarudi usiku kutoka kwa danga na kuna geti unawasumbua kufungua hapo ni kero hata kwako binafsi (unaweza kuhama kwa tricky sana), lakini kama hakuna geti usihame we endelea na life hapo hapo kwa wazee.
(Ukitaka kupanga nistue kuna nyumba mbili nazipangisha kule temeke)

Sawa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom