figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Salaam Wakuu,
Chama kipya cha Siasa kinachoitwa Umoja Party, inasemekana ni chama kinachofuata, Uongozi wa Hayati Magufuli. Inasemekana Vigogo wengi wa CCM wapo nyuma ya hiki chama.
Wafuasi wengi wa Umoja Party wanadai Rais Samia hafanyi kazi kama Magufuli, na Watu Magufuli aliowaamin kama Polepole, Mkumbo, Bashiru, wameondolewa ili kambi ya Samia itafune Nchi.
Kwakuwa Waanzilishi wa Umoja Party wapo CCM, wanaweza kuhujumu Kazi za Rais Samia ili kumuondolea umaarufu aloujenga kwa kipindi kifupi?
Nini kifanyike ili Watanzania waache kuhujumiana? Kwenye siasa hujuma kama hizi wanaoumia ni wananchi
Chama kipya cha Siasa kinachoitwa Umoja Party, inasemekana ni chama kinachofuata, Uongozi wa Hayati Magufuli. Inasemekana Vigogo wengi wa CCM wapo nyuma ya hiki chama.
Wafuasi wengi wa Umoja Party wanadai Rais Samia hafanyi kazi kama Magufuli, na Watu Magufuli aliowaamin kama Polepole, Mkumbo, Bashiru, wameondolewa ili kambi ya Samia itafune Nchi.
Kwakuwa Waanzilishi wa Umoja Party wapo CCM, wanaweza kuhujumu Kazi za Rais Samia ili kumuondolea umaarufu aloujenga kwa kipindi kifupi?
Nini kifanyike ili Watanzania waache kuhujumiana? Kwenye siasa hujuma kama hizi wanaoumia ni wananchi