Je, Captain Tesha ni nani?

Je, Captain Tesha ni nani?

Anamuona mmoja mbele ya Camera hajui km nyuma ya Camera kuna kikosi cha kutosha sasa tupigwe risasi hio siku tukiwa tunaandamana nadhani kashasema ole ole ole wake askari polisi wawapige risasi wananchi maana hio ndio tabia yao
Sidhani kama hata hiyo siku itafika kabla jambo halijatokea.
 
Wanaosema si mwanajeshi please nina ombi kwa afande CDF.Namuomba afande CDF kupitia msemaji wa jeshi wakanushe taarifa hii mapema ndani ya masaa 24 baada ya hapo kiukweli ata mkija na ushahidi wa video sitaelewa chochote(maana sahivi raia tunaweza vaa sare za jeshi tukajipa mavyeo (nakuja kujipa cheo cha brigedia general shauri zenu JWTZ)na kwenda live)
 
View attachment 3483210

Je kweli ni mwanajeshi au kavaat mavazi jeshi

Je ni kweli yupo kikosi cha anga

Je kuna watu wamesoma nae majirani wanaweza kuthibisha kuwa ni mwanajeshi

JWTZ pia watoke watoe tamko nani ni captain tesha

Kachafua hali ya hewa sana leo hapa nchini
Famba hilo
Screenshot_20251004_154904_X.jpg
 
Kashfa za kifisadi kubwa kubwa chini ya Kikwete. Huyu mtu ni hatari


EPA
RICHMOND
MEREMETA, TanGold, deep green finance
RADAR
ATCL & South Africa Airways
Tegeta ESCROW - IPTL
KIWIRA
Gas Mtwara
NSSF KIGAMBONI
Bagamoyo Port
TTCL - ZTE
TPA & TICTS
Manunuzi sare za jeshi n.k
 
Sasa itakuwaje jeshi lisipokuwa upande wa samia?

Maana yake samia anabaki kuwa kama msanii wa bongofleva tu, sio Amiri jeshi tena.

Watamfurumusha, bora ajiondokee zake kwa heshima apewe hata kiinua mgongo [Japo najua kwa sasa ana mahela mengi ameyajaza kwenye makontena].

Akikaza shingo ataburuzwa mkuku mkuku mpaka kwa pilato wa Kisutu mwendo wa kijeshi.

Sijui atavaa ushungi au watamvua??? WE HUOGOPI?
Mbamizwa katumeni
 
View attachment 3483210

Je kweli ni mwanajeshi au kavaat mavazi jeshi

Je ni kweli yupo kikosi cha anga

Je kuna watu wamesoma nae majirani wanaweza kuthibisha kuwa ni mwanajeshi

JWTZ pia watoke watoe tamko nani ni captain tesha

Kachafua hali ya hewa sana leo hapa nchini
Mjinga Mmoja weee, unakuta weé ni shushushu unatafuta habari za kwenda kuisumbua Familia na MARAFIKI wake.

Mamaee, Inamaana hata mwanajeshi bila Gwanda akiwa anaongea Hujui kua ni mwanajeshi????


Utakua ni zwazwa shushushu
 
Back
Top Bottom