Sidhani kama hata hiyo siku itafika kabla jambo halijatokea.Anamuona mmoja mbele ya Camera hajui km nyuma ya Camera kuna kikosi cha kutosha sasa tupigwe risasi hio siku tukiwa tunaandamana nadhani kashasema ole ole ole wake askari polisi wawapige risasi wananchi maana hio ndio tabia yao
Mtakufa vibaya nyie kenge wakubwa kabisahuyo sio mwanajeshi na pia ccm haiwezi toka madarakani leo wala kesho, infact ccm ndo chama kikuu afrika
data hizi apaMtakufa vibaya nyie kenge wakubwa kabisa
😂 😂 tunayasubiri mkuuUnaongea kwa keyboard Huku unatetemeka.
Mafuriko yanaongezeka,hamuwezi Tena kuyakabiri,mnasombwa soon.
Tuna maana yetu kuandamana tar 29 ndezi wewe, sasa hivi tumbo joto masikini hamjui mkimbilie wapi.sasa kama haziendi si utoke leo
Famba hiloView attachment 3483210
Je kweli ni mwanajeshi au kavaat mavazi jeshi
Je ni kweli yupo kikosi cha anga
Je kuna watu wamesoma nae majirani wanaweza kuthibisha kuwa ni mwanajeshi
JWTZ pia watoke watoe tamko nani ni captain tesha
Kachafua hali ya hewa sana leo hapa nchini
sisi wenyewe tunaisubiria tukatiki mkuu sio wewe tuTuna maana yetu kuandamana tar 29 ndezi wewe, sasa hivi tumbo joto masikini hamjui mkimbilie wapi.
Hivi imekaaje iwapo wanao mrinda (nyuma yake) iwapo wakiambia apishe ikulu? Anaondoka na bodyguard ama?Achana na maandamano, tuzungumzie AMIRATI WA JESHI.
Itakuwaje sasa kama hana jeshi? Atabaki na Muliro?
Au atabaki na ulinzi wa genge la DULLAH?
Mbamizwa katumeniSasa itakuwaje jeshi lisipokuwa upande wa samia?
Maana yake samia anabaki kuwa kama msanii wa bongofleva tu, sio Amiri jeshi tena.
Watamfurumusha, bora ajiondokee zake kwa heshima apewe hata kiinua mgongo [Japo najua kwa sasa ana mahela mengi ameyajaza kwenye makontena].
Akikaza shingo ataburuzwa mkuku mkuku mpaka kwa pilato wa Kisutu mwendo wa kijeshi.
Sijui atavaa ushungi au watamvua??? WE HUOGOPI?
Jiandae kabisa kuvaa nepi, makamanda wanakuja mwendo wa kijeshi.Famba hilo
View attachment 3483278
Awe mwanajeshi asiwe mwanajeshi hatoboiHuyu jamaa ni mwamba sana,
Maombi yake yafanyiwe kazi
Mjinga Mmoja weee, unakuta weé ni shushushu unatafuta habari za kwenda kuisumbua Familia na MARAFIKI wake.View attachment 3483210
Je kweli ni mwanajeshi au kavaat mavazi jeshi
Je ni kweli yupo kikosi cha anga
Je kuna watu wamesoma nae majirani wanaweza kuthibisha kuwa ni mwanajeshi
JWTZ pia watoke watoe tamko nani ni captain tesha
Kachafua hali ya hewa sana leo hapa nchini
Vigezo gani umetumia au ndio kigezo chako kikubwa ni Grok?Famba hilo
View attachment 3483278
View attachment 3483210
Je kweli ni mwanajeshi au kavaat mavazi jeshi
Je ni kweli yupo kikosi cha anga
Je kuna watu wamesoma nae majirani wanaweza kuthibisha kuwa ni mwanajeshi
JWTZ pia watoke watoe tamko nani ni captain tesha
Kachafua hali ya hewa sana leo hapa nchini