The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,633
- 1,858
Huyu jamaa ni mwamba sana,
Maombi yake yafanyiwe kazi
Maombi yake yafanyiwe kazi
anamuomba CDF afanye kazi ya president 😂Huyu jamaa ni mwamba sana,
Maombi yake yafanyiwe kazi
Naomba full videoNa kasema amemuandikia barua CDF afanye jambo nchi ipone sasa mimi ni nani nikatae na anapoongea anamlenga CDF moja kwa moja kwamba afanye jambo mimi nani nipinge?
Naomba full video
Ndio nini Pure Commercial Management?PCM??🤔
siasa ni michezo, usije ukaashangaa sku lissu huyo ccmHatakama sio captain mi sijali nachofurahi nikuone wahuni wanapelekewa moto.Huyu bibi akila hana na sijali wala nini
Inaonekana unamjua walter white na Jesse PinkmannKuonyesha kutikishwa na hii breaking bad, tayari wameshafungia youtube.
😂 😂Angechukua tu haka ka nchi Bwana, kama Traore 😂
Acha kujipa matumaini..wewe tarehe 29 toka utajua kama wapo upande wenu ama laa
wewe tarehe 29 toka acha keleleAcha kujipa matumaini..
Samia ndipo kaondoka hivyo..
Kapteini katoa onyo, ole wake askari yeyote apige mwananchi...
Hapo ulipo jiandae chawa wewe...
Askari hawana uwezo kuzidi nguvu ya wananchi.
Wewe acha kujipa moyo... uchaguzi hakuna.. 🤣 🤣wewe tarehe 29 toka acha kelele
😂 😂 😂Wewe acha kujipa moyo... uchaguzi hakuna.. 🤣 🤣
Watekaji wote na chawa mjiandae...
Kwishnei...
Kama mtu amejitambulisha kwa majina na kikosi alichopo wewe unatilia shaka kwa nini?