Je, Captain Tesha ni nani?

Je, Captain Tesha ni nani?

Vigezo gani umetumia au ndio kigezo chako kikubwa ni Grok?
Screenshot_20251004_171638_WhatsApp.jpg
 
Hii ni "sukari trap" nini kupata "rouge elements" zote huko kunako husika?
===
Teknolojia inakwenda kasi sana
 
Huyu Kapteni atakuwa shogo kikundi cha Polepole mwanajeshi anaongea kajificha.
 
Wananchi wanazidi kupata starting point ya kutoka tar 29 iwe kweli au sio kweli..!!
 
Kama namba inaonekana then ni askari wa JWTZ ila kama haionekani then itakuwa amevaa kombati za kuazima au za kutengeneza.
 
Yule MBIBI anazidi kujibebea dhambi sa kutosha!

God bless Tanganyika
 
Hii ni "sukari trap" nini kupata "rouge elements" zote huko kunako husika?
===
Teknolojia inakwenda kasi sana
😀😀😀 Unahangaika sana, huwezi ukashindana na waliokuzidi akili na mikakati, mlisema kwenye mwendokasi watu hawawezi kuandamana.

Serikali ya Tanzania kwa sasa haina substancial resources za kuzuia kuanguka kwake as long as haitakaa chini na Wananchi wake
 
Back
Top Bottom