January 1964, maasi ya jeshi na mwaka wa matatizo makubwa Tanganyika na Afrika Mashariki nzima!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,333
24,218

View: https://youtu.be/NlMzNWph_tE?si=ZEn2izCLvieZG_Th
Vijana sasa hivi hawajuia yaliyo tokea miaka 60 iliyopita.
Namshukuru Mungu, mimi nilishuhudia hata kama ni kiduchu na nilikuwa mdogo sana.
Tukiishi Temeke miaka hiyo, na kambi kuu za jeshi Mgulani zilikuwa karibu sana.
Nilikuwa na miaka saba wakati huo na tulikuwa tunakaa nyumba ya mwarabu mmoja Temeke, Baba yangu ni mjeshi.
Kwa mara ya kwanza mwaka huo ndio nikasikia live sauti ya kutisha ya mlio wa sub machine gun ikitoa mlio kwa mbali.
Watu wote walijificha majumbani kwao na hakuna mtu alitoka nje.
Viumbe wa kuonekana vikirandaranda mtaani ni kuku na mbwa.
Mwenye nyumba wetu, mwarabu, alishukuru sana kuwa mpangaji wake alikuwa mwanajeshi, baba yetu, na literally alimpigia magoti kwa ajili ya ulinzi.
Maasi ya January 1964 yalimtikisa vibaya sana Mwalimu Nyerere ambaye kwa aibu kubwa ilibidi awaombe jeshi la mkoloni, ili limsaidie kuzima maasi.
Maasi yenyewe kimsingi yalikuwa kuwapa madaraka waafrika ndani ya jeshi, Africanisation.
Wimbi hili la maasi lilienea Uganda, Kenya na liliishia Zanzibar mwezi April ,1964.
Wana JF, tulikuwepo!
 

View: https://youtu.be/NlMzNWph_tE?si=ZEn2izCLvieZG_Th
Vijana sasa hivi hawajuia yaliyo tokea miaka 60 iliyopita.
Namshukuru Mungu, mimi nilishuhudia hata kama ni kiduchu na nilikuwa mdogo sana.
Tukiishi Temeke miaka hiyo, na kambi kuu za jeshi Mgulani zilikuwa karibu sana.
Nilikuwa na miaka saba wakati huo na tulikuwa tunakaa nyumba ya mwarabu mmoja Temeke, Baba yangu ni mjeshi.
Kwa mara ya kwanza mwaka huo ndio nikasikia live sauti ya kutisha ya mlio wa sub machine gun ikitoa mlio kwa mbali.
Watu wote walijificha majumbani kwao na hakuna mtu alitoka nje.
Viumbe wa kuonekana vikirandaranda mtaani ni kuku na mbwa.
Mwenye nyumba wetu, mwarabu, alishukuru sana kuwa mpangaji wake alikuwa mwanajeshi, baba yetu, na literally alimpigia magoti kwa ajili ya ulinzi.
Maasi ya January 1964 yalimtikisa vibaya sana Mwalimu Nyerere ambaye kwa aibu kubwa ilibidi awaombe jeshi la mkoloni, ili limsaidie kuzima maasi.
Maasi yenyewe kimsingi yalikuwa kuwapa madaraka waafrika ndani ya jeshi, Africanisation.
Wimbi hili la maasi lilienea Uganda, Kenya na liliishia Zanzibar mwezi April ,1964.
Wana JF, tulikuwepo!

Asante mkongwe.
 

View: https://youtu.be/NlMzNWph_tE?si=ZEn2izCLvieZG_Th
Vijana sasa hivi hawajuia yaliyo tokea miaka 60 iliyopita.
Namshukuru Mungu, mimi nilishuhudia hata kama ni kiduchu na nilikuwa mdogo sana.
Tukiishi Temeke miaka hiyo, na kambi kuu za jeshi Mgulani zilikuwa karibu sana.
Nilikuwa na miaka saba wakati huo na tulikuwa tunakaa nyumba ya mwarabu mmoja Temeke, Baba yangu ni mjeshi.
Kwa mara ya kwanza mwaka huo ndio nikasikia live sauti ya kutisha ya mlio wa sub machine gun ikitoa mlio kwa mbali.
Watu wote walijificha majumbani kwao na hakuna mtu alitoka nje.
Viumbe wa kuonekana vikirandaranda mtaani ni kuku na mbwa.
Mwenye nyumba wetu, mwarabu, alishukuru sana kuwa mpangaji wake alikuwa mwanajeshi, baba yetu, na literally alimpigia magoti kwa ajili ya ulinzi.
Maasi ya January 1964 yalimtikisa vibaya sana Mwalimu Nyerere ambaye kwa aibu kubwa ilibidi awaombe jeshi la mkoloni, ili limsaidie kuzima maasi.
Maasi yenyewe kimsingi yalikuwa kuwapa madaraka waafrika ndani ya jeshi, Africanisation.
Wimbi hili la maasi lilienea Uganda, Kenya na liliishia Zanzibar mwezi April ,1964.
Wana JF, tulikuwepo!


Lt. Elisha Kavina na Sanjenti Francis Hingo Ilogi, waliishia wapi?
 
Duuh, mzee Jidu La Mabambasi, kumbe wewe umekula chumvi kiasi chake?

Yaani mwaka 1964 ulikuwa na umri wa miaka 7 tayari, au siyo?

Na kwa maana hii mwaka huu 2024 you are exactly 67 year old, right?

Pokea maua💐💐💐💐💐 yako mzee japo kwa namna ya ushiriki wako wa mijadala mbalimbali humu jamvini, basi mtu makini aweza kuku - define kama ni mzee msela fulani hivi..

Kuna wakati ukianzishaga mjadala humu na ukianza kuwa mkali tu na mashambulizi kukuelemea, huwa nakuona kabisa kuwa unaanzaga ku-panic kiaina na kuanza kurusha ngumi hewani..

Bahati nzuri ni kuwa, mimi huwa najitahidi kuwa mbali na wewe kuepuka ngumi yako kunipata..

Oooh kwa heri nawahi gemu uwanjani🏃🏃🏃🏃
 

View: https://youtu.be/NlMzNWph_tE?si=ZEn2izCLvieZG_Th
Vijana sasa hivi hawajuia yaliyo tokea miaka 60 iliyopita.
Namshukuru Mungu, mimi nilishuhudia hata kama ni kiduchu na nilikuwa mdogo sana.
Tukiishi Temeke miaka hiyo, na kambi kuu za jeshi Mgulani zilikuwa karibu sana.
Nilikuwa na miaka saba wakati huo na tulikuwa tunakaa nyumba ya mwarabu mmoja Temeke, Baba yangu ni mjeshi.
Kwa mara ya kwanza mwaka huo ndio nikasikia live sauti ya kutisha ya mlio wa sub machine gun ikitoa mlio kwa mbali.
Watu wote walijificha majumbani kwao na hakuna mtu alitoka nje.
Viumbe wa kuonekana vikirandaranda mtaani ni kuku na mbwa.
Mwenye nyumba wetu, mwarabu, alishukuru sana kuwa mpangaji wake alikuwa mwanajeshi, baba yetu, na literally alimpigia magoti kwa ajili ya ulinzi.
Maasi ya January 1964 yalimtikisa vibaya sana Mwalimu Nyerere ambaye kwa aibu kubwa ilibidi awaombe jeshi la mkoloni, ili limsaidie kuzima maasi.
Maasi yenyewe kimsingi yalikuwa kuwapa madaraka waafrika ndani ya jeshi, Africanisation.
Wimbi hili la maasi lilienea Uganda, Kenya na liliishia Zanzibar mwezi April ,1964.
Wana JF, tulikuwepo!

Siyo kwamba aligoma kuungana na Zanzibar, mabeberu wakamuonesha wao nani!?..maasi & mapinduzi January,muungano miezi miwili baadae Tena wa kurupukurupu ukifanyika jumapili,siku isiyo ya kazi
 
Baada ya uhuru, maafisa wa vyeo vya juu sana wakikaa Oyster Bay na Coloto Barracks(Lugalo) na walikuwa wazungu.
Wa vyeo vya kati na familia, ilikuwa ni kupanga nyumba karibub na kambi zao, na wale nono commisioned officers walikaa makambini.
Colito barracks
 
Pia nasikia hali ya Askari ilikuwa mbaya sana, hakuna mishahara wala kombati, wakakinukisha kwa mwalimu
 
Duuh, mzee Jidu La Mabambasi, kumbe wewe umekula chumvi kiasi chake?

Yaani mwaka 1964 ulikuwa na umri wa miaka 7 tayari, au siyo?

Na kwa maana hii mwaka huu 2024 you are exactly 67 year old, right?

Pokea maua💐💐💐💐💐 yako mzee japo kwa namna ya ushiriki wako wa mijadala mbalimbali humu jamvini, basi mtu makini aweza kuku - define kama ni mzee msela fulani hivi..

Kuna wakati ukianzishaga mjadala humu na ukianza kuwa mkali tu na mashambulizi kukuelemea, huwa nakuona kabisa kuwa unaanzaga ku-panic kiaina na kuanza kurusha ngumi hewani..

Bahati nzuri ni kuwa, mimi huwa najitahidi kuwa mbali na wewe kuepuka ngumi yako kunipata..

Oooh kwa heri nawahi gemu uwanjani🏃🏃🏃🏃
Ha ha ha!
Hujakosea, mimi long time nipo town, na tumeona mengi.
Mabosi wetu wengi ni wadogo zangu
Stori nyingine hatuzitoi maana huwa too specific na mtu anaweza jua nani anaongea.
 

View: https://youtu.be/NlMzNWph_tE?si=ZEn2izCLvieZG_Th
Vijana sasa hivi hawajuia yaliyo tokea miaka 60 iliyopita.
Namshukuru Mungu, mimi nilishuhudia hata kama ni kiduchu na nilikuwa mdogo sana.
Tukiishi Temeke miaka hiyo, na kambi kuu za jeshi Mgulani zilikuwa karibu sana.
Nilikuwa na miaka saba wakati huo na tulikuwa tunakaa nyumba ya mwarabu mmoja Temeke, Baba yangu ni mjeshi.
Kwa mara ya kwanza mwaka huo ndio nikasikia live sauti ya kutisha ya mlio wa sub machine gun ikitoa mlio kwa mbali.
Watu wote walijificha majumbani kwao na hakuna mtu alitoka nje.
Viumbe wa kuonekana vikirandaranda mtaani ni kuku na mbwa.
Mwenye nyumba wetu, mwarabu, alishukuru sana kuwa mpangaji wake alikuwa mwanajeshi, baba yetu, na literally alimpigia magoti kwa ajili ya ulinzi.
Maasi ya January 1964 yalimtikisa vibaya sana Mwalimu Nyerere ambaye kwa aibu kubwa ilibidi awaombe jeshi la mkoloni, ili limsaidie kuzima maasi.
Maasi yenyewe kimsingi yalikuwa kuwapa madaraka waafrika ndani ya jeshi, Africanisation.
Wimbi hili la maasi lilienea Uganda, Kenya na liliishia Zanzibar mwezi April ,1964.
Wana JF, tulikuwepo!

JokaKuu
 

View: https://youtu.be/NlMzNWph_tE?si=ZEn2izCLvieZG_Th
Vijana sasa hivi hawajuia yaliyo tokea miaka 60 iliyopita.
Namshukuru Mungu, mimi nilishuhudia hata kama ni kiduchu na nilikuwa mdogo sana.
Tukiishi Temeke miaka hiyo, na kambi kuu za jeshi Mgulani zilikuwa karibu sana.
Nilikuwa na miaka saba wakati huo na tulikuwa tunakaa nyumba ya mwarabu mmoja Temeke, Baba yangu ni mjeshi.
Kwa mara ya kwanza mwaka huo ndio nikasikia live sauti ya kutisha ya mlio wa sub machine gun ikitoa mlio kwa mbali.
Watu wote walijificha majumbani kwao na hakuna mtu alitoka nje.
Viumbe wa kuonekana vikirandaranda mtaani ni kuku na mbwa.
Mwenye nyumba wetu, mwarabu, alishukuru sana kuwa mpangaji wake alikuwa mwanajeshi, baba yetu, na literally alimpigia magoti kwa ajili ya ulinzi.
Maasi ya January 1964 yalimtikisa vibaya sana Mwalimu Nyerere ambaye kwa aibu kubwa ilibidi awaombe jeshi la mkoloni, ili limsaidie kuzima maasi.
Maasi yenyewe kimsingi yalikuwa kuwapa madaraka waafrika ndani ya jeshi, Africanisation.
Wimbi hili la maasi lilienea Uganda, Kenya na liliishia Zanzibar mwezi April ,1964.
Wana JF, tulikuwepo!

Ngoja ntaipitia Baadae
 
Back
Top Bottom