Tamaa za Kiuchumi na umuhimu wa Pwani ya Afrika Mashariki zinataka kumrudisha Sultani wa Oman kupitia DPW.

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Kabla ya Mapinduzi matukufu ya mwaka 1964, Zanzibar pamoja na korido lote (km 10) la mwambao wa Pwani ya Afrika Mashariki vikijumuisha visiwa vya Lamu na Mafia vilitawaliwa na Ukoo wa Sultan Sayyid wa Oman.

Sultan aliitawala Zanzibar na mwambao wote kuanzia Tanga hadi Lindi, korido lote toka Tanga hadi Tabora na Kigoma ili kusaidia biashara zake za utumwa na kusafirisha pembe za ndovu kupeleka nchi za mashariki ya mbali kupitia Kongo.

Leo waarabu wale wale wa Oman na Dubai wanataka kumiliki bandari zote zilizo kwenye maeneo yale yale, wameongeza na bandari zote za nchi kavu na zilizo kwenye maziwa makuu, kama hiyo haitoshi wanataka kujimilikisha njia kuu zote kutoka bandari kuu za Dar es salaam na Tanga hadi zilipo bandari za nchi kavu na maziwa makuu yaani bandari za Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika.

Kama huu sio ukoloni mamboleo ni nini. WaTanzania tushituke tuendelee kupiga kelele hadi mkoloni na vibaraka wake wajue watanzania wa leo sio wa miaka ile ya 1800.
 
Kabla ya Mapinduzi matukufu ya mwaka 1964, Zanzibar pamoja na korido lote (km 10) la mwambao wa Pwani ya Afrika Mashariki vikijumuisha visiwa vya Lamu na Mafia vilitawaliwa na Ukoo wa Sultan Sayyid wa Oman.

Sultan aliitawala Zanzibar na mwambao wote kuanzia Tanga hadi Lindi, korido lote toka Tanga hadi Tabora na Kigoma ili kusaidia biashara zake za utumwa na kusafirisha pembe za ndovu kupeleka nchi za mashariki ya mbali kupitia Kongo.

Leo waarabu wale wale wa Oman na Dubai wanataka kumiliki bandari zote zilizo kwenye maeneo yale yale, wameongeza na bandari zote za nchi kavu na zilizo kwenye maziwa makuu, kama hiyo haitoshi wanataka kujimilikisha njia kuu zote kutoka bandari kuu za Dar es salaam na Tanga hadi zilipo bandari za nchi kavu na maziwa makuu yaani bandari za Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika.

Kama huu sio ukoloni mamboleo ni nini. WaTanzania tushituke tuendelee kupiga kelele hadi mkoloni na vibaraka wake wajue watanzania wa leo sio wa miaka ile ya 1800.
Neo colonialism
 
mnadanganywa sana, hizo Bandari hazijachukuliwa na mwarabu yoyote bali ni rwanda na sababu ni kusafirishia mali ghafi za thamani ktk Kongo dr. hivyo kuna uhusiano mkubwa kati ya vita ya Kongo na uporwaji wa Bandari zetu na mali za Kongo …
 
Kabla ya Mapinduzi matukufu ya mwaka 1964, Zanzibar pamoja na korido lote (km 10) la mwambao wa Pwani ya Afrika Mashariki vikijumuisha visiwa vya Lamu na Mafia vilitawaliwa na Ukoo wa Sultan Sayyid wa Oman.

Sultan aliitawala Zanzibar na mwambao wote kuanzia Tanga hadi Lindi, korido lote toka Tanga hadi Tabora na Kigoma ili kusaidia biashara zake za utumwa na kusafirisha pembe za ndovu kupeleka nchi za mashariki ya mbali kupitia Kongo.

Leo waarabu wale wale wa Oman na Dubai wanataka kumiliki bandari zote zilizo kwenye maeneo yale yale, wameongeza na bandari zote za nchi kavu na zilizo kwenye maziwa makuu, kama hiyo haitoshi wanataka kujimilikisha njia kuu zote kutoka bandari kuu za Dar es salaam na Tanga hadi zilipo bandari za nchi kavu na maziwa makuu yaani bandari za Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika.

Kama huu sio ukoloni mamboleo ni nini. WaTanzania tushituke tuendelee kupiga kelele hadi mkoloni na vibaraka wake wajue watanzania wa leo sio wa miaka ile ya 1800.
Ngoja extremist Faiza aje!!
 
Hivi Muingereza amekuja mara ngapi kurudisha ukoloni mamboleo? ... tumekaribisha mpaka makaburu kuja kutunyonya na sijasikia kelele za ukoloni mamboleo (tulipokuwa tukiunga mkono ukombozi kusini mwa Afrika kumbe tulikuwa tunawaonea wivu wasausi kuwa na makaburu?) ... HAKUNA KITU KIBAYA KAMA UKOLONI MAMBOLEO WA WACHINA!
DPW na Sultani wapi na wapi?
WOTE HATUPENDI MIKATABA YA KIJINGAJINGA, LAKINI TUTOE HOJA ZENYE MASHIKO NA SIO KUKARIRI VIJISIASA VYA ENZI ZA GIZA YA CHAMA KIMOJA!
👊 😅 ✌️ 💥💥💥
NB: Hata Nyerere angekuwa hai, kwa jinsi alivyokuwa anakwenda na wakati, kuna baadhi ya kauli zake, nyingi tu, asingeweza kuzirudia leo hii!
 
Back
Top Bottom