Dr Louis
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 443
- 426
Hata mimi naona ndiyo na kifua umekianika hivyo juani?Tupo wengine tunaota jua la usiku
Hata mimi naona ndiyo na kifua umekianika hivyo juani?Tupo wengine tunaota jua la usiku
Tupo.Inapendeza.Popoz mpoooo?
Nidos.embe dodo.Hata mimi naona ndiyo na kifua umekianika hivyo juani?
Safi sana kumbe sipo peke yangu.Tupo.Inapendeza.
Lala weweNidos.embe dodo.
Mpaka Busheee.Safi sana kumbe sipo peke yangu.
Usiku mwema MachuchuLala wewe
Izo kazi zingine unaongea tu usiombe kabisaKwakweli kulala kumenishinda usiku na kama mwaka nimeunza hivi bora nikatafute kazi ya Ulinzi niwe nakaa macho kwa faida.
Mkuu najua ni ngumu ila nitafanyaje sasa mchana Inzi usiku Mmbu.Izo kazi zingine unaongea tu usiombe kabisa
BadoWatu mshaliangushaaa ee
Aya ila kulinda wenzako wamelala wamekumbatiana ww unakesha.....alaf likitokea tatizo ww ndio w kwanza kuisaidia policeMkuu najua ni ngumu ila nitafanyaje sasa mchana Inzi usiku Mmbu.
Machuchu kanikimbizs nikalale.Watu mshaliangushaaa ee
Ningelikuwa na wa kumkumbatia nisingelikesha hivi aisee.Aya ila kulinda wenzako wamelala wamekumbatiana ww unakesha.....alaf likitokea tatizo ww ndio w kwanza kuisaidia police
Ningelikuwa na wa kumkumbatia nisingelikesha hivi aisee.


kaka yangu mmoja alioa baada ya wiki akasimamishwa kazi. Mke tena ndoa mbiichii alikua anakesha kitako ata ham ya kumkumbati mkewe hana. Unaweza ukawa n mtu alafu usiwe na furaha ata usiku mnene ukashindwa kumkumbatia ili ulale.Aisee hilo ni la kweli kabisa naliona kwa wenzangu ila sasa tutafanyaje.kaka yangu mmoja alioa baada ya wiki akasimamishwa kazi. Mke tena ndoa mbiichii alikua anakesha kitako ata ham ya kumkumbati mkewe hana. Unaweza ukawa n mtu alafu usiwe na furaha ata usiku mnene ukashindwa kumkumbatia ili ulale.
Komaa tuAisee hilo ni la kweli kabisa naliona kwa wenzangu ila sasa tutafanyaje.