Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Ahahahaaaaaaacha tu jaman anko magu alegeze kidogo mpaka watu tunajiteka wenyewe
Acha kabisa mambo magum usiku badala tulale tunaishia kuwaza jamani
Ahahahaaaaaaacha tu jaman anko magu alegeze kidogo mpaka watu tunajiteka wenyewe
jaman, nimeshtuka hapa usingizini, napapasa kuona kama kuna papuchi kumbe nipo peke yangu.
Nani wa kuniliwaza?



Ahahahaaaaaa
Acha kabisa mambo magum usiku badala tulale tunaishia kuwaza jamani



kitanda unakiona hakifai jaman kitanda chako mwenyewejaman shem, hatuja umbiwa roho mbaya hivyoo!!
Embu toka hapo chumbani nenda sebuleni utakutana na mwenzio nae alitoka chumbani akakimbilia sebuleni sasa mkikutana hapo mtaliwazana
Sijakuelewa unaenda wapi utuache wenyewe hapa ndio nini maana yake?![]()
![]()
![]()
Sent from my TECNO F7 using JamiiForums mobile app
Tafuta geisha mangijaman shem, hatuja umbiwa roho mbaya hivyoo!!
Embu tusaidiane kuondoa hili tatizo
Tafuta geisha mangi
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app




jaman shunie, hata wewe?Tafuta geisha mangi
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Acha ujinga shunie ujue nimecheka kwa sauti



jichekee tu dear unafkili tutamsaidiaje bora amtafute geisha amsaidie
Kweli Mangi huyo ndio ataweza kukusaidia ujue mtafute akuliwaze tunakupenda ndio mana ndio tumekwambia umtafutejaman shunie, hata wewe?
Unanijubu hivi kweli?
Kweli naona siwez pata msaada hapa
Na kweli hakuna namna lazima iwe hivyo tuujichekee tu dear unafkili tutamsaidiaje bora amtafute geisha amsaidie
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Hapana kwa kweli,Kweli Mangi huyo ndio ataweza kukusaidia ujue mtafute akuliwaze tunakupenda ndio mana ndio tumekwambia umtafute
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Na kweli hakuna namna lazima iwe hivyo tuu







Haoana kwa kweli,
mm humu kumbe sina rafiki,
rafiki wa kukujali,
katika hali,
nimegundua wote ni madalali.
Ngoja nilale tu
Tulale wapi mpz, tupo tuuMbona mme lala sasa
Mbona mme lala sasa