JamiiForums Usiku wa manane
shem haulali tu
Jana ilikua holiday so kikawaida Kila jioni nikitoka Job Huwa muda ya saa moja mpaka saa mbili Huwa napiga konyagiiii ndogo yangu moja toshaaaaaa.

Sasa Jana nikianza saa nane mchana mpaka saa 12 nikaenda home Nika hang na familia saa tatu na nusu nikaingia kulala saa sita Nika amka nikanywa maji ya baridii na juisi.

Kikawaida pombe ikiisha KICHWANI usingizii unakata hapo kulala ni saa 12 asubuh.. ndipo usingizii mzitooo utakapo nijia

Nipo macho shem
 
Jana ilikua holiday so kikawaida Kila jioni nikitoka Job Huwa muda ya saa moja mpaka saa mbili Huwa napiga konyagiiii ndogo yangu moja toshaaaaaa.

Sasa Jana nikianza saa nane mchana mpaka saa 12 nikaenda home Nika hang na familia saa tatu na nusu nikaingia kulala saa sita Nika amka nikanywa maji ya baridii na juisi.

Kikawaida pombe ikiisha KICHWANI usingizii unakata hapo kulala ni saa 12 asubuh.. ndipo usingizii mzitooo utakapo nijia

Nipo macho shem
ooh sawa sameja nimekupata,,, enwei lete habari
 
Back
Top Bottom