ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 16,787
- 61,260
Basi pambana na hali yakoBahati nzuri wameshaolewa wote .
Basi pambana na hali yakoBahati nzuri wameshaolewa wote .
Mhaya na mnyambo mkuu😁😁😁Mmoja ndio yule mama yake mreno![]()
Napambana hakuna matata.Basi pambana na hali yako
TayariNitag
HongeraMhaya na mnyambo mkuu![]()
Mbona zipo anazo za kutosha tu embu nenda kazichekiMbona siku hizi To yeye hafungui nyuzi
Ameen mzee wa Kigamboni...
Za mwaka huuMbona zipo anazo za kutosha tu embu nenda kazicheki
NimeonaNdio upo nimekutag![]()
Ila ulikua una vibe, ukiingia lazima uchekeNimeupukutisha ule uzi. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tutagombana!!!!!!!!!!!!Ngoja na wewe niangalie zako![]()
Ulikuwa Uzi pendwa sana wenye husda wakaharibuIla ulikua una vibe, ukiingia lazima ucheke
Eti wenye husda🤣Ulikuwa Uzi pendwa sana wenye husda wakaharibu
Tulia bongeTutagombana!!!!!!!!!!!!
UtaniudhiiTulia bonge