Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,369
- 96,653
naibuka lindoni, naona una piga makelele, Nika jua Leo zee kaamua.Niliona cha mno nini 🏃😂
Kuja kucheki ni vumbi tu 😁 🤣
naibuka lindoni, naona una piga makelele, Nika jua Leo zee kaamua.Niliona cha mno nini 🏃😂
Tena Nita nunua machine ya kufulia kutoka Samsung 😁That's nice, sio yale ukifua mara mbili unakuta yameshapauka 😅
Hahaha...... kwahiyo nawewe huwezi kupikwa Mkuu?wenzio Wana pikwa kwenye pipa, we Kama waweza mi nitakuwa mpiga Sera wako😀
Acha uhuni mzee😁, zama hizi sio za kuinama kidhembe 🤣Hahaha...... kwahiyo nawewe huwezi kupikwa Mkuu?
Mtaka cha uvunguni sharti ainame
Vijana mna mambo 😅🙌Acha uhuni mzee😁, zama hizi sio za kuinama kidhembe 🤣
Mzee nime cheka Sana 😁, Jamaa Ali ona mbali Sana, 🤣.Vijana mna mambo 😅🙌
Mwaka 47 tukiwa tunajifunza Methali na Nahau
Tulikuwa tunasoma na Mhindi mmoja, alipoulizwa na Mwalimu hiyo methali ya Mtaka cha Uvunguni ......jamaa akajibu sharti unyanyue Kitanda 🙌
Ingekuwa miaka yenu hii ningesema lile jibu alitoa Intelligent businessman mwenye uraia wa Bombay 😅
😅😅😅🙌Mzee nime cheka Sana 😁, Jamaa Ali ona mbali Sana, 🤣.
Wahuni sio watu kabisa😂😂
Ifike mahala wazee tupewe muda wetu spesho wa kupumzika. Sema nilivyoona vijana mpo nikaona nibwage manyanganaibuka lindoni, naona una piga makelele, Nika jua Leo zee kaamua.
Kuja kucheki ni vumbi tu 😁 🤣
Lindo nime funga mwenyewe, hakukuwa na mlinziz yoyote😂🤣Ifike mahala wazee tupewe muda wetu spesho wa kupumzika. Sema nilivyoona vijana mpo nikaona nibwage manyanga
Walinzi wa siku hizi waoga tu saa sita washalala😂🙌Lindo nime funga mwenyewe, hakukuwa na mlinziz yoyote😂🤣
Waoga Sana😂🤣, Jana nili mesa dawa fulani kumbe Zina sababisha usingizi hatari.Walinzi wa siku hizi waoga tu saa sita washalala😂🙌
Imenibidi mzee nirudi lindoni kwa kasi kubwaWaoga Sana😂🤣, Jana nili mesa dawa fulani kumbe Zina sababisha usingizi hatari.
Nakuona Cha Moto hapa 😂🤣, ime bidi niwe nakunywa maji kwa wingi.
Au basi😂unataka kumaanisha?![]()
Mtoto amewaka 🔥kimkakati sana mission inasomeka jina gani
nipo pembeni yako mkuuMtoto amewaka 🔥