Taifa tulijenge kwa kuchapa kazi sio kufanya hiyo tabia mbaya😎Taifa haliwezi jengwa na vijana wanaolala saa sita, population ya Taifa itaongezekaje?mida ya kutiana mimba nyinyi Mmelala hiyo nguvu mnaipata wapi jamani?hebu tuige mfano wa china....usiku ni muda wa uzalishaji viwandani pia nyie mnalala?Shime amkeni tulijenge taifa Vincenzo Jr Fake P Half american Intelligent businessman nilikuwa half time
Mie mwenyewe mjuba 😂😁
basi tufanye jambazi..!!
Nimeshangaa Jana nakuta lindo wazi makomredi Mmelala fofofo 😁
🤣🤣🤣siku ambayo mlinzi amepata nafuu na kurudi kazini anasumbua kweli🙄
😂😂😂😂 Hongera sana Popo unayepata halftime na unanguvu unaweza kushika simu mwee! natafutaga hiyo chance nakosa wallah nikiwa uzalishaji viwandani.😂😂😂😂. Nasimama na mamaee
Huu uzi zamani tuliutendea haki sisi wakongwe wa usiku wa manane. Ilikuwa ikifika alfajiri tunafunga geti tunahamia pengine. Ila nyie mmekuja hapa kuharibu mantiki ya huu uzi mnapiga kelele zenu tu huko kulana kimasihara na ujinga mwingine.Intelli una oa lini, bado nipo nipo kwanza.
Una sema, bado nipo nipo sana 😁😁
Jana nimeingia lindo kweupe kabisa hamna mtu hata mmoja nikaamua nisimamie show mwenyewe🤣🤣🤣siku ambayo mlinzi amepata nafuu na kurudi kazini anasumbua kweli🙄
Sa ngapi huko? Mkongwe unawivu wa kike seeenzHuu uzi zamani tuliutendea haki sisi wakongwe wa usiku wa manane. Ilikuwa ikifika alfajiri tunafunga geti tunahamia pengine. Ila nyie mmekuja hapa kuharibu mantiki ya huu uzi mnapiga kelele zenu tu huko kulana kimasihara na ujinga mwingine.
Sheenz, malparida.
Maghayo We ni umbwa
🤣🤣🤣🤣Wivu utamuaaSa ngapi huko? Mkongwe unawivu wa kike seeenz
Pole 😁Huu uzi zamani tuliutendea haki sisi wakongwe wa usiku wa manane. Ilikuwa ikifika alfajiri tunafunga geti tunahamia pengine. Ila nyie mmekuja hapa kuharibu mantiki ya huu uzi mnapiga kelele zenu tu huko kulana kimasihara na ujinga mwingine.
Sheenz, malparida.
Maghayo We ni umbwa
Tunapiga umbeax kwenye nyuzi za misiba na majonzi ya kitaifa🤣🤣🤣, wtf usiku wa manane🤣🤣🤣 mnaojiita wakongwe inabidi mkufee mkapumzike, mmechoka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wivu utamuaa
Wananikerega kujikuta wajuaji!Kila kitu wakongwe wakongwe!wakongwe wa nyokoTunapiga umbeax kwenye nyuzi za misiba na majonzi ya kitaifa🤣🤣🤣, wtf usiku wa manane🤣🤣🤣 mnaojiita wakongwe inabidi mkufee mkapumzike, mmechoka sana🤣🤣🤣
Same to youUsiku mwema
🤣🤣🤣Kabisa Kabisa....maana mpaka kufutwa maongezi yetu hii ni HUJUMAA 😏Kabisa tufanye tuanzishe lindo letu la wawili🥰
🤣🤣pole na hongera kwa kazi Kamanda✌️Jana nimeingia lindo kweupe kabisa hamna mtu hata mmoja nikaamua nisimamie show mwenyewe
AiseeHuu uzi zamani tuliutendea haki sisi wakongwe wa usiku wa manane. Ilikuwa ikifika alfajiri tunafunga geti tunahamia pengine. Ila nyie mmekuja hapa kuharibu mantiki ya huu uzi mnapiga kelele zenu tu huko kulana kimasihara na ujinga mwingine.
Sheenz, malparida.
Maghayo We ni umbwa
Tulikuwa kwenye majukumu mengine ya kulijenga taifa la kesho 😅Nimeshangaa Jana nakuta lindo wazi makomredi Mmelala fofofo 😁
SafiTulikuwa kwenye majukumu mengine ya kulijenga taifa la kesho 😅
Najua unatuwakilisha vyema hukoSafi
Nimekuwa mvivu kweliNajua unatuwakilisha vyema huko