Taifa haliwezi jengwa na vijana wanaolala saa sita, population ya Taifa itaongezekaje?mida ya kutiana mimba nyinyi Mmelala hiyo nguvu mnaipata wapi jamani?hebu tuige mfano wa china....usiku ni muda wa uzalishaji viwandani pia nyie mnalala?Shime amkeni tulijenge taifa Vincenzo Jr Fake P Half american Intelligent businessman nilikuwa half time
Taifa tulijenge kwa kuchapa kazi sio kufanya hiyo tabia mbaya😎
 
Mie mwenyewe mjuba 😂😁

basi tufanye jambazi..!!

Nimeshangaa Jana nakuta lindo wazi makomredi Mmelala fofofo 😁

🤣🤣🤣siku ambayo mlinzi amepata nafuu na kurudi kazini anasumbua kweli🙄

😂😂😂😂 Hongera sana Popo unayepata halftime na unanguvu unaweza kushika simu mwee! natafutaga hiyo chance nakosa wallah nikiwa uzalishaji viwandani.😂😂😂😂. Nasimama na mamaee

Intelli una oa lini, bado nipo nipo kwanza.
Una sema, bado nipo nipo sana 😁😁
Huu uzi zamani tuliutendea haki sisi wakongwe wa usiku wa manane. Ilikuwa ikifika alfajiri tunafunga geti tunahamia pengine. Ila nyie mmekuja hapa kuharibu mantiki ya huu uzi mnapiga kelele zenu tu huko kulana kimasihara na ujinga mwingine.

Sheenz, malparida.

Maghayo We ni umbwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom