Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 33,794
- 55,561
Amina usisahau kuniombea. Hawa vijana wa hovyo wataombewa baani huko 🙄Kesho naenda ibadani asubuhi na mapema...nitapata majibu🤓
Amina usisahau kuniombea. Hawa vijana wa hovyo wataombewa baani huko 🙄Kesho naenda ibadani asubuhi na mapema...nitapata majibu🤓
Nipo sana, nakua bize saa mbili hadi kumi na mbili baada ya hapo Ndo kama hv nakua freeSabufa mwenyewe ..😂😂😂😂🙌🙌🙌
Niseme tu kwa sasa ni adimu sana mkuu....sijui unapoteleaga wapi
Safi sana mkuu ..Nipo sana, nakua bize saa mbili hadi kumi na mbili baada ya hapo Ndo kama hv nakua free
Mbona ulimi nje tena 😂😂😂😂haya usiku wa ma8
Unachokotafuta utakipata 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Na kwa ufupi nishapewa kazi ya kukukanya wewe...😂😂😂😂
Kwa style hyo sio mda takukazibisha kwa shangazi yangu 😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Wehu kabisa akiongezeka na mwanae mmoja wakujiita boss wa Fake P A.K.A fyucha bigionea ni hatari lazima mmoja atupwe mahabusu 😂TID akisha puliza... Akawa na mwanae qchila hapo ikamilike aje chidy 😂😂😂😂😂
Mi nalala masaa 5 tu, Hayazidi hayapunguiSafi sana mkuu ..
Una Zingatia kulala masaa 8 lakini..?
😂😂😂
Usijali....🙏🏽Amina usisahau kuniombea. Hawa vijana wa hovyo wataombewa baani huko 🙄
Sijawahi pitia pito hilo maishaniUkute na ww ulikua ni mtu wa kwaya ety 😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
Sawa subiri ni mention jina lako kwa ant...😂😂😂🙌![]()
![]()
![]()
![]()
nitawakabizi wajomba zang, hope hawatashindwana![]()
Yaaani kama pie.....Mi nalala masaa 5 tu, Hayazidi hayapungui
Naunga mkono hoja kakaNi kuvumilia tu mzee
Ni yeye ilisikika hadi zanzibar 😂
Hii code ya Leo umekosea 😂😁😳kajifungua then kakuacha? U can’t be serious
Wee umepitia wapi... Au nakufananisha mkuuSijawahi pitia pito hilo maishani
Eee mzeee japo hapa kati mapenzi yalininyoosha nkavuruga ratiba najikuta nimezinduka saa naneYaaani kama pie.....
Safi lakini.. naona upo na timetable straight sana