JamiiForums Usiku wa manane
mi win.... kwa akili zangu mwenyewe bila kushurutishwa na mtu nimekubali kumuacha....... aaah hapan siwez siwez siwez.....,,,, he iz only mine sikotayal kumuacha bwana hata msemeje
aaaah bt why kofosi......

shadow na da kidoti nimewaacha huru kuwen na penz la amani...........
kwanzia sasa niko singo sitaki tena kujihusisha na mapenzi nayachukia

jiran na rain naomb muandae shereh mchome na nyama huko mliko
 
Back
Top Bottom