Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 6,016
- 8,762
Poor Brain weka neno jema lenye kutia faraja usikuu huu12:13
Dodoma muda huu kuna mvua.
Kuna baridi la kufa mtu leo.
....sijui nifanyaje...🤔🤔🤔!!!
Poor Brain weka neno jema lenye kutia faraja usikuu huu12:13
Dodoma muda huu kuna mvua.
Kuna baridi la kufa mtu leo.
....sijui nifanyaje...🤔🤔🤔!!!
Mi najua ni bwana shetty 😅![]()
![]()
ungemjua nauhakika ungefuta hii reply![]()
Acha ugomvi kijana... 😂😂😂😂😂kuhema kupi unako maanisha![]()
Mapema kabisaaaa 😂😂😂🙌🙌🙌Poor Brain weka neno jema lenye kutia faraja usikuu huu
Baridi la dom na upepo ni balaa tupu.12:13
Dodoma muda huu kuna mvua.
Kuna baridi la kufa mtu leo.
....sijui nifanyaje...🤔🤔🤔!!!
Acha ugomvi kijana...
Una jua sahvi tuking'oana meno hayaoti tena![]()




samaleko 0018Tupo pamoja...Hapo Njema Sana Mkuu.
Kwenye Kimvua Hiki Mbona Penyewe Sasa Usisababishe Ndugu Yetu Huko Amwage Hadi Ubongo.😂12:13
Dodoma muda huu kuna mvua.
Kuna baridi la kufa mtu leo.
....sijui nifanyaje...🤔🤔🤔!!!
Hata Dakika 10 Mbele Sitoboi MkuuTupo pamoja...
Mda gani unatuachia lindo mkuu hapa jukwaani..
Ukitaka kujua nipo fasta,samaleko 0018
MM na wewe tena yan hapa kamiss Chizi Maarifa na Mzee wa kupambaniaMapema kabisaaaa 😂😂😂🙌🙌🙌
Umejuaje
😂😂😂😂😂 Ndo wale wa kufata ratiba ya kulala masaa 8 mkuu 😂😂Hata Dakika 10 Mbele Sitoboi Mkuu
12:13
Dodoma muda huu kuna mvua.
Kuna baridi la kufa mtu leo.
....sijui nifanyaje...🤔🤔🤔!!!
Njooni ilazo hapa tujenge nchiBaridi la dom na upepo ni balaa tupu.
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌MM na wewe tena yan hapa kamiss Chizi Maarifa na Mzee wa kupambania
Dah kweli ni taifa haswa😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
Unaambiwa hilo taifa halina bendera
Ila ni serikali tosha hapa 😂😂😂
😂 nchi inajengwa na vilevi sio?Njooni ilazo hapa tujenge nchi
Fanya hivi.. mnipitie 4wayNjooni ilazo hapa tujenge nchi