JamiiForums Usiku wa manane
Na ukiwa nje ndo unapata fursa ya kuona vyema yanayoendelea vyamani. Vinginevyo utakuwa wa kusifia kila lifanywalo na chama chako na kupinga kila linalofanywa na mpinzani wako.
Ni kweli kabisa. Unazi sio mzuri na ndio sababu ya nchi inashindwa kusonga mbele kimaendeleo
 
Back
Top Bottom