Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,308
- 96,503
Mbuzi wa kijani wee😃🤣nusu kaputi tulia kuruti wewe
Mbuzi wa kijani wee😃🤣nusu kaputi tulia kuruti wewe
Mi huwa sio mkorofi, ila kwenye interest zangu nilizo tolea jasho.😂😂😂🙌 atakuwa mgeni nawe
SawasawaMi huwa sio mkorofi, ila kwenye interest zangu nilizo tolea jasho.
👉Basi naeza vurugana hata na yoyote.
Mambo?Kabisaa
Poa mremboMambo?
😘mguu kwako tuPoa mrembo
Nimekuhamu hadi naumwa
Muache asomeuzingizi kwisha🤣
au leo hujapata chips mayai🤣
Unafikiri nalalaga basi😕uzingizi kwisha🤣
au leo hujapata chips mayai🤣
🤣🤣🤣 jamaniMuache asome
si ulisema ukila mayai 4 unalala🤣Unafikiri nalalaga basi😕
🤣🤣🤣si ulisema ukila mayai 4 unalala🤣
aisee nilicheka ile siku hujui tu
ipo kwenye huu uzi uliiandika mwaka mpya🤣🤣🤣
Sikumbuki Hebu tuone hiyo comment
Siwezi kuifuta.ipo kwenye huu uzi uliiandika mwaka mpya
najua utaifuta🤣
Ms eyes 🤣Kula mayai ya kuchemsha utalala tu, kama mimi hapa nimeshajikulia zangu manne usiku huu nataka kulala sasa😌
🤣🤣🤣
Umepotea sana madam🤣🤣🤣 jamani
Hupatikani kabisa mkuu.Umepotea sana madam
Afadhali hata umekuja 🤣🤣🤣
Nipo bossHupatikani kabisa mkuu.
Mimi kila siku Nipo ila wewe unaingia kwa manati sanaa😕
Sasa mimi nikimuacha asome halafu wewe unamsumbua si kazi bure?Nipo boss
Tatizo kila nikiandika uzi au comment mshamba_hachekwi anafuta yaani huyu jamaa haya mamalaka aliyopewa hapa jf anayatumia vibaya kuninyanyasa😁😁😁