rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 17,281
- 24,146
03.43
😂 jobless tangu lin akojoe pazuri?Nusu albinoo acha dharau, una jua we hugusi ninapo kojoa pazuri 😀🤣
Yah ,kwamba ni muda wa kuinua silaha na kuanza mashambulizi. .Ni lugha ya picha au
Ooh, Wana jua Sina salio- ila Waki taka show.😂 jobless tangu lin akojoe pazuri?

Duhniko nimekaa hapa nawaza nitapata wapi lidoli lile la silicon la elon musk



Maamaaaeeh01;23 mwenye zamu ya kununua luku, karudi na mshumaa![]()



Tuombee tu sisi vijana wenu maana nipo bar toka saa kumi na mbili jioni na hapa sioni dalili ya kuondoka kwa hii mikito ya Dj na vidada vya hapa..Muda wa Wazee kujiandaa na Ibada ili kuendelea kuwa karibu na Mola
Saa 02:26