Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,453
AmenKila la heri chief
AmenKila la heri chief
Achana na mapenzi nshamkula kalala hapa geto mm bodaboda wakeMy Dear Cheusi,
Men might ignore you at work but atleast you can cybesr-stalk me when you get home using an online alias. I know you're already on here somewhere. Holla!
O3:02
Acha ukabilaZonge Ndau Siyangena Bafwetu
Umenena vyema tatizo wenzio hapa baa ndo pamekoleaJamani usiku huu ni mzuri sana kama mtu unashida ukaamuwa kuweka simu yako pembeni walau Umuombe Mungu akutatulie jambo lako lolote unaloliona gumu Mungu atalifanyia wepesi jaribu utakuja kunishukuru
Achana na mapenzi nshamkula kalala hapa geto mm bodaboda wake
Huo ujumbe tumekutumia wote na anapandaga sana ili kukupoteza Raman fanya mazoezi bro kitambi kinakucost sana leo kanipa ndogo😂😂😂😂🤫😤
Ushamukula.😁😁
Huwa halali nje hata kwa Dawa, na hajawahi kupanda bodaboda(madai yake) Hatahivyo Shangazi hili lipo Bahari linetulia kwake, kesha nitumia junbe hapa Joburg.
♥️ Asante sana🔥🔥🔥
View attachment 2721319
Kapeace miss you mdogo wangu
To yeye kula hicho chuma rafiki yangu mzuri 😊
😅😅😅 eeh mdogo wangu tu huyo.. sasa nyie vijana mie kaka yenu sasa nagonga 40+.. au hamtaki
😂😂Brother kaka wa hiari huyo hajaongopa
Asante kaka nimekumiss pia🔥🔥🔥
View attachment 2721319
Kapeace miss you mdogo wangu
To yeye kula hicho chuma rafiki yangu mzuri 😊
Umpotea sana jamani 😘Asante kaka nimekumiss pia
Mambo mengi tu ila nipo 😘