sinyaghile
JF-Expert Member
- Mar 9, 2023
- 271
- 381
Kheee! Vidonge vya usingizi na lindo mbona haviendani? Usikimbie lindoNgoja nimeze vidonge vyangu vya usingizi nilale sasa
3:34
Kheee! Vidonge vya usingizi na lindo mbona haviendani? Usikimbie lindoNgoja nimeze vidonge vyangu vya usingizi nilale sasa
3:34
Kuna wenzangu wanakuja kunipokea saa 3:45 🤪Kheee! Vidonge vya usingizi na lindo mbona haviendani? Usikimbie lindo
Kuna wenzangu wanakuja kunipokea saa 3:45
Ila hii kazi ya Lindo ni ngumu, wacha tumuombe boss atuongeze mshahara
3:40



Aisee unapitia hali mbaya kama kweli umefikia hatua ya kumeza vidonge ili kupata usingizi. Achana navyo, badirisha ratiba yako ya siku nzima, jioni mazoezi na usingizi utaupata vizuri tu.Ngoja nimeze vidonge vyangu vya usingizi nilale sasa 😴
3:34
Usiogope mkuu ni walinzi wa angani wanakagua lindo kama liko salamaKumbe wanavyosemaga hii ni mida ya wanga huwa wanamaanisha
Nasikia vishindo vya kutisha juu ya Bati utasema paa linataka kutobolewa
3:44
Hapana Mkuu, Ni leo tu imetokeaAisee unapitia hali mbaya kama kweli umefikia hatua ya kumeza vidonge ili kupata usingizi. Achana navyo, badirisha ratiba yako ya siku nzima, jioni mazoezi na usingizi utaupata vizuri tu.
Kumbe haya mambo huwa ni kweli aisee 🙌Usiogope mkuu ni walinzi wa angani wanakagua lindo kama liko salama
Hongera kwa kuwajibika, maana akina Baba wengine wangemwamsha Mama yake ampatie dawa kumbe ni wajibu wa kila mzaziHapana Mkuu, Ni leo tu imetokea
Kijana wangu ameamka muda huu joto limempanda, hapa nampa panadol kujaribu kulishusha. Naona Mama yake anauchapa tu usingizi![]()
Pole sana. Umechukua hatua njema ya kuwajibika. Mwache mama apumzikeHapana Mkuu, Ni leo tu imetokea
Kijana wangu ameamka muda huu joto limempanda, hapa nampa panadol kujaribu kulishusha. Naona Mama yake anauchapa tu usingizi 😴
Haya mambo yapo kabisa wengine huwa wanasikia mpaka sauti zisizo elewekaKumbe haya mambo huwa ni kweli aisee
Ila maisha yao ni magumu, kama kila siku huwa ni hivi
3:48
Shukrani mkuu 🙏Hongera kwa kuwajibika, maana akina Baba wengine wangemwamsha Mama yake ampatie dawa kumbe ni wajibu wa kila mzazi
Asante mkuu 🙏Pole sana. Umechukua hatua njema ya kuwajibika. Mwache mama apumzike
Ni kweli Mkuu, hapa nasikia kama wanatembea hapo Sebuleni.Haya mambo yapo kabisa wengine huwa wanasikia mpaka sauti zisizo eleweka
Pole mkuu, nadhani mwanga wanaugopa kuna jamaa aliwahi kushtuliwa na sauti pamoja na vishindo kama watu wanatembea juu ya bati alipowasha taa tu wakanyamaza, akizima wanendelea, akaamua kutozima hakusikia tena sauti zao wala vishindo vyaoNi kweli Mkuu, hapa nasikia kama wanatembea hapo Sebuleni.
Ila wakati naenda kufata dawa kwenye fridge si nikawasha taa, ghafla kimya kikatawala![]()