Dahan
JF-Expert Member
- Oct 26, 2022
- 2,743
- 6,283
Nipo afandee..
Nilikua nahesabu walioripotii lindoni ili kikao kianze
Ova!
Nipo afandee..
Unawazaga mizagamuano tu


najua ndio umetoka kusafisha lungu😂 kijana wa hovyo kabisaZnajua ndio umetoka kusafisha lungu
Count on me nipo imara na G3 yangu hapa sentryNipo afandee..
Nilikua nahesabu walioripotii lindoni ili kikao kianze
Ova!
Anakaa mtaa mmoja na Johnnie Walker so waeza waulizia yahaya streetIntelligent businessman ivi Dahan Anaishi wapi ?
Anakaa mtaa mmoja na Johnnie Walker so waeza waulizia yahaya street

Mbona nilisha toa taarifa zake hapa![]()
Mbona mna nichengesha chengesha siwaelewi mjue 😅😅Anakaa mtaa mmoja na Johnnie Walker so waeza waulizia yahaya street
Tuna lleha mimba msimsumbe mrembo wangu basMbona mna nichengesha chengesha siwaelewi mjue 😅😅
Haya sawa, unatangaza vita mapemaaa sanaaa 😅😅Tuna lleha mimba msimsumbe mrembo wangu bas
Nani huyo mwenye vifaa vya vita nimtujueHaya sawa, unatangaza vita mapemaaa sanaaa 😅😅
We sikilizia tu, umeisha declare war .. hautojua mashambulizi, yametokea wapi 🤣🤣Nani huyo mwenye vifaa vya vita nimtujue
Nasema hivi ajipamge vizuri napiga judo balaaWe sikilizia tu, umeisha declare war .. hautojua mashambulizi, yametokea wapi 🤣🤣