JamiiForums Usiku wa manane
Okay tell me how you feel pale unahisi kichwa kuuma ni wapi haswa kichwa kinauma eneo gan la kichwa pembeni, katikati, nyuma au mbele, you know I mean

01:21
Kuna nyumaa ya kisogo, mbele hapa juu kabla haujafika kitosini.
👉Mishipa inakuwa Kama inakaza
👉Mwanga unakuwa mkali machoni
 
Kuna nyumaa ya kisogo, mbele hapa juu kabla haujafika kitosini.
👉Mishipa inakuwa Kama inakaza
👉Mwanga unakuwa mkali machoni
Okay unatumia mda gan kupumzika baada ya shughuli za kila siku ? I mean relaxation like listening to good music on beach such as guitar, piano, violin, etc in low volume
 
Okay unatumia mda gan kupumzika baada ya shughuli za kila siku ? I mean relaxation like listening to good music on beach such as guitar, piano, violin, etc in low volume
Mkuu mi nawazaga kazi sana tu, misosi na movie, games na music Sana tu . So haya maumivu nayatibu vipii
 
Sijui nikaloge au basi ngoja nikachungulie watu madirishan nijue wamelal au wanafanya nn
 
Back
Top Bottom