Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Club house then jisajirWhich one
Club house then jisajirWhich one
mzee nikajua unachanja mbuga

nimepumzika siku ya tatu hii mvua sio rafiki sana nilipotaka kwenda kuingia alafu wametoka kwenye marekebisho ya barabara ni hapaingiliki 30km ya rough road! Nikikwama si ndio mpaka naoa kijijini hukohuko


Hii inahusu nini hii! Ya hapa hapa bongo!!?Club house then jisajir
Duh tungekuokota umeanguka na gari mzee pumxika enjoynimepumzika siku ya tatu hii mvua sio rafiki sana nilipotaka kwenda kuingia alafu wametoka kwenye marekebisho ya barabara ni hapaingiliki 30km ya rough road! Nikikwama si ndio mpaka naoa kijijini hukohuko
![]()
Siyo ya bongo ila wabongo wapo wengi kuna english na swahiliHii inahusu nini hii! Ya hapa hapa bongo!!?
Screenshot hiyo mada nishawishike kabla sijala mb zangu kuidownloadSiyo ya bongo ila wabongo wapo wengi kuna english na swahili
Duh nimeshatoka mb ziligonga alamuScreenshot hiyo mada nishawishike kabla sijala mb zangu kuidownload
Duh wakunyumba mwakataaaKwa sasa usiku huu niko shambani nachochea bani,kimvua na mbu ni halali yangu. Nadhani wanangu wa Urambo,Mpanda,Chunya na maeneo machache nchini mshanielewa.
Ilo fuvu litakubali kupumzika na lina stress za madeni mzee 😂😂ngoja na mimi nipumzishe fuvu!
Tupo jana na leoMmenisusia lindo?
Kanal unaamka kula dakuTupo jana na leo
Nipo nilikuwa nawazoom tuKanal unaamka kula daku
O yeah here we go againI mean no malice to nobody jamani 😂
Duh ungesema nen mkuuNipo nilikuwa nawazoom tu
Ukitumia Nikon Monarch M5 8×42 ?Nipo nilikuwa nawazoom tu